Fidelis big
Senior Member
- Aug 31, 2011
- 114
- 34
Naomba msaada wa tiba au ushauri kwa hili tatizo linalomsumbua wife. Kila ifikapo kipindi cha ovulation huwa tumbo kwa chini linamuma sana na huwa anasikia maumvivu kiunoni na vichomi.
Mkuu tumbo kuuma kwa m/ke linatokana na 7bu zifuatazo!
1.Hafiki kileleni
2.Dushelele kubwa
3.Maambukizo kwenye via za uzazi
Mkuu hope mkeo bado hajazaa. Hili ni tatizo kubwa kwa wadada wengi. Wife lilikuwa linamsumbua sana pia lakini baada ya kujaliwa kupata mtoto limepungua karibu na kuisha kabisa. Kwahiyo kama hajazaa basi fanya fastafasta apate mtoto umpunguzie mateso hayo. Wasalamu.
Dah! pengine style unazomkunja ndizo zinampelekea kupata maumivu, ila usijali akipita hapa MziziMkavu atakupa darasa zuri zaidi.
hiyo ya blue do ndo nimeisikia leo maybe ngoja niendelee kujifunza, so ina maana wanawake ambao hawajaolewa wala hawajihusishi na mapenzi ina maana matumbo yao yanawatesa yaani naimagine kwamba wanatembea na magnesium kwenye handbag zaoMkuu tumbo kuuma kwa m/ke linatokana na 7bu zifuatazo!
1.Hafiki kileleni
2.Dushelele kubwa
3.Maambukizo kwenye via za uzazi
Kaka hilo linaitwa chango, kama nyumbani yaan kijijini sio mbali, jitahidi kutafuta wataalamu wa mitishamba, wao watajua ni chango la namana gani basi watampatia dawa!! Ni kama ngiri kwa mwanaume!!
Itabidi nimface ndugu yeyote wa kijijini kwetu,sie watoto tuliye zaliwa mjini tunakosa mengi sana, vp hospital hakuna dawa ya chango mkuu,coz ngiri dawa yake ni upasuaji! je chango nalo litaitaji kisu
mkuu nenda hospitali akafanyiwe vipimo. Hebu achana na waganga wa kienyeji. Kuna sababu nyingi zinazosababisha lower abdominal pain.
Naomba msaada wa tiba au ushauri kwa hili tatizo linalomsumbua wife.
kila ifikapo kipindi cha ovulation huwa tumbo kwa chini linamuma sana na huwa anasikia maumvivu kiunoni na vichomi.
Mpe pole mkeo,mimi pia Nina the same problem during ovulation napata the same pain ila yanaisha baada ya siku moja au masaa fulani,huo Sio ugonjwa the condition is known as Mittelscherz pain it happens to some women,
maumivu yakizidi anywe painkillers to wala msihangaike.
singaile sio kweli na havina uhusiano kabisa na ovulation. Mie Housegirl wangu huwa linamsumbua hivyo lakini anatumia painkillers linatulia. Ingawa nae ameambiwa mpaka atakapozaa litaacha kuuma
Mimi ni mgeni wa haya mambo. Sina la kukushauri. Ngoja nisome comment za watu tu.
Basii!!!! umemaliza kazi mkuu dryroot,nimekusubiri sana pande hizi uje ukamilishe jukumu lako mkuu,sasa naona kipele kimepata mkunaji! naona mbuzimzee na boflo walikubana kule kwenye lile jukwaa lenu la kujidai? bora umekimbia uje kuokoa jahazi.Mkuu Fidelis big Pole sana kwa hayo matatizo ya mke wako Mwambie atumie hii dawa (combined oral contraceptive pills,) natumaini hana mpango wa kuzaa kwa sasa, hizi nazo zimethibitishwa kufanya kazi vizuri, hupunguza maumivu ya hedhi, hupunguza kiasi cha damu kinachotoka na vile vile hupunguza duration ya menses.
Na dawa za Kienyeji anywe maji ya Uvuguvugu yaliyochanganywa na kijiko kimoja cha Asali mbichi safi ya nyuki itamsaidia hiyo dawa.