Smiles
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 1,231
- 107
Pole mpendwa....
Maumivu ni kawaida in periods,
especially kama bado hujazaa, na si kama ni tatizo,
changes in hormones, hali ya hewa, hata mazingira vinaweza kuchangia kupata maumivu,
Srong painkillers zinaweza kusaidia though not advised in many cases,
coz once zikishazoea mwilini zinatengeneza immunity kiasi kwamba unaweza kufika wakati zikawa
hazikusaidii kabisa.
Jaribu kufanya mazoezi zaidi, relax...avoid too much stress as sometimes inachangia pia kwa mabadiliko hayo kipindi
cha periods, pale unapooana maumivu yamekuzidia try and see Prof. Mgaya, ni gaenocologist, atakusaidia
Anapatikana Muhimbili or katika clinic yake - Maria Clinic ipo Namanga.
Pole sana.
Maumivu ni kawaida in periods,
especially kama bado hujazaa, na si kama ni tatizo,
changes in hormones, hali ya hewa, hata mazingira vinaweza kuchangia kupata maumivu,
Srong painkillers zinaweza kusaidia though not advised in many cases,
coz once zikishazoea mwilini zinatengeneza immunity kiasi kwamba unaweza kufika wakati zikawa
hazikusaidii kabisa.
Jaribu kufanya mazoezi zaidi, relax...avoid too much stress as sometimes inachangia pia kwa mabadiliko hayo kipindi
cha periods, pale unapooana maumivu yamekuzidia try and see Prof. Mgaya, ni gaenocologist, atakusaidia
Anapatikana Muhimbili or katika clinic yake - Maria Clinic ipo Namanga.
Pole sana.