Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,784
- 11,801
sasa kwa mfano
kwa siku=10
kwa wiki 70
kwa mwezi ??????
Ni balaaa my dia bora sie kwakweli
sasa kwa mfano
kwa siku=10
kwa wiki 70
kwa mwezi ??????
Dah..! Mkuu Honey Faith umenichekesha mpaka naonekana chizi hapa ofisini!
Ila kua mwanamke ni raha eeeeee si unajua eeeee
Umeona eeeh!yani ni raha sana na tikitaka kupoza tunabeba mimba almost mwaka mzima unapumzika sasa hao men kila akiona sketi imemvutia mlingoti channel zote zinakamata
Maumivu ya raha hayo! Lkn nasikia nyie ndo mnakuwa kwenye shida sana ukigusa hicho kitu kikiwa ktk hali ile! Wanasema hata ukigusa kwa bahati mbaya mahali popote lazima uchafue chupi,eti ni kweli!??Si ni kweli jamani?Nasikia mishipa inakazaa ile mbaya
Hhhhhaaaaaa, wanaume wao kazi ya kubwa kutafuta pesaa na kututo....... sanaaa
Sisi tuna kazi kubwaa kuzaa kwa uchungu,kila mwezi upae,kazi kweliii kumhando mume kaz zote ni shidaaaaaa
Maumivu ya raha hayo! Lkn nasikia nyie ndo mnakuwa kwenye shida sana ukigusa hicho kitu kikiwa ktk hali ile! Wanasema hata ukigusa kwa bahati mbaya mahali popote lazima uchafue chupi,eti ni kweli!??
Endelea na kazi bwana huo ni uongo tu
Mwee nlikumic eti afu ww hata ujanimic
Yani nimekumiss balaaa nikajaribu kukupigia cm yako napo ulikuwa haupatikaniki.Mzima lakini mumie?
Mie mzima kabisaa mumy sema ndio ubizy wa hapa na paleee
Usisubiri kiu. Kunywa Maji ya kutosha Kila siku mpaka Lita tatu Na nusu au kunywa juisi ya matunda uliyotengeneza mwenyewe. Maumivu wakati wa period ni ishara huna maji ya kutosha mwilini. Siri IPO hapo.
Mimi nilikuwa muhanga wa hayo maumivu yaani yasikie tuu kwa mwingine, manake hata dawa kuna wakati ziligoma kabisa.
Maombi ni silaha jamani, niliombewa na sasa hayo maumivu ni historia kwangu.
DAMU ya YESU ina nguvu jamani... acheni.
Kama wewe ni mkritu nakushauri ukaombewe kama dawa za dunia zitagoma.
Mi ktk maisha yangu sijawahi kuumwa jamani nikiwa kwenye mp...
Lkn nashangaa ni hiv karibuni nfo imeanza sijui ni itabidi niende nikamuone dr...
Though maombi siachi
Ni vizuri kumwona Dr. Mimi mama yangu alinipelekaga kwa dr. akasema ni hali ya kawaida kutokana na maumbile yangu ikabidi nikubaliane na hali yenyewe. Maombi usiache`, uponyaji wako unaweza pia kuupata kupitia Dr. Kitu kingine, once unapotoa hiyo damu yako hapohapo ifunike kwa Damu ya Yesu. hii tulifundishwa kwenye seminar ya Damu Ya Yesu.
Yea ni wengi msimu huo unawatesa tusubir wataalam