Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

Poleni na kazi wana jf. Naombeni mnisaidie, mke wangu kajifungua mtoto yapata miezi mminne iliyopita. Ila baada yakujifungua mtoto alikuwa analia sana hivyo mama yake alikuwa anakesha mda mwingi akimbembeleza, sasa anatatizo lakuumwa na mgongo sana . Analalamika maumivu makali ya mgongo wakati wote. Tafadhali naomba anayejua tiba au suluhisho la tatizo hili anisaidie tafadhali. Hasa madaktari na wamama ambao mnaujuzi na mambo ya uzazi. Ndio amejifungua mtoto wa kwanza.
 
Why does my back hurt so much after giving birth?

Many of the physical changes that can cause low back pain during pregnancymay contribute to an achy back now, especially if you've

given birth very recently. Other factors come into play during the postpartum period too.


During pregnancy, your expanding uterus stretches and weakens your abdominal muscles and alters your posture, putting strain on your

back. Plus, extra weight means more work for your muscles and increased stress on your joints.


What's more, hormonal changes in pregnancy can loosen the joints and the ligaments that attach your pelvic bones to your spine, which

can make you feel less stable and cause pain when you walk, stand, sit for long periods, roll over in bed, get out of a low chair or the tub, bend, or lift things.


These changes don't go away overnight. So your back may continue to ache until your muscles regain their strength and tone and your joints become less lax.

You can also end up with a sore back as the result of a long or difficult labor. During labor you may have used muscles you don't normally use, and you'll feel the effects for some time. (If you had an epidural, you may notice some tenderness at the site for a few days after giving birth, but it shouldn't cause back pain.)

Also, many new moms inadvertently make their back problems worse by not being conscious of good posture while feeding their baby.

For example, when you're learning
how to breastfeed you may be so focused on getting your baby to latch on correctly that you end up sitting hunched over, straining your neck and upper back muscles as you look down.

The overall exhaustion and stress you may experience taking care of a newborn 24/7 can also make it harder to recover from aches and pains after childbirth, including back pain.


How long will it last?


It's common to have some back pain after giving birth. It usually resolves within a few months, though some women will continue to have pain for much longer
Women who had back pain before or during pregnancy are more likely to have persistent back pain after pregnancy, particularly if their pain was severe or began relatively early in pregnancy. Being overweight increases the risk too.

What can I do about it?


Begin a gradual exercise program:

While you may not be eager to be up and about if your back hurts, moving around may be just what your body needs. Exercises to strengthen your abdominal muscles and increase flexibility may be helpful too.

  • Choose a gentle form of exercise, such as walking. Walking is safe to start almost immediately after either a vaginal birth or a cesarean section. Take it slowly and keep walks short in the first few weeks. (Swimming, which helps strengthen your muscles without putting undue stress on your joints, is another good option later on.)

    Read more about starting to exercise.
  • When your caregiver has given you the go-ahead, gradually start doing strengthening exercises for your back and abdominal muscles. Make pelvic tilts a part of your daily routine:

    Lie on your back with your knees bent and your feet flat on the floor. Inhale and allow your belly to expand with your breath. Exhale and tilt your tailbone toward your belly button while keeping your hips on the floor. (It's a subtle movement.) At the top of the tilt, tighten your buttocks, then release. Repeat eight to ten times. (Note: If you've had a c-section, wait at least six to eight weeks to start exercises like this.)
  • Do gentle stretching exercises or yoga. Avoid overstretching or extreme positions.

    Listen to your body. If a particular position or activity causes you discomfort, stop.

Be aware of positioning and proper body mechanics:


How you hold your body – as you carry and feed your baby, for example – will surely affect how your back feels. A few things to keep in mind throughout the day:

  • Pay attention to your posture and stand up straight.
  • Sit up straight, too. Think about your posture when feeding your baby, whether you're nursing or bottle-feeding. If you have low back pain, try using a footstool to keep your feet slightly raised off the floor. Choose a comfortable chair with armrests, and use lots of pillows to give extra support to your back and arms.
  • Learn how to position yourself properly while nursing, and always bring your baby to your breast, rather than the other way around. Also try different breastfeeding positions. If you have tense shoulders and upper back pain, the side-lying position may be most comfortable.
  • Always bend from your knees and lift objects and children from a crouching position to minimize the stress on your back. Let someone else lift heavy objects – this isn't the time to risk throwing your back out. (If you've had a c-section, you shouldn't be lifting anything heavier than your baby for at least eight weeks.)


Try some TLC:

Easing soreness and tension and generally taking good care of yourself may help you heal. At the very least, it'll help you feel better temporarily. Take the time to try these measures:

  • Enjoy a warm bath – it may help relax your muscles and the rest of you, too.
  • Wrap a heating pad or hot pack around the affected area. (Some research suggests that it may provide a bit of short-term relief.)

    If heat doesn't help, you might want to try a cold pack. Although there's no hard evidence that cold helps, it's easy to do, and there's no downside to trying. (Whether you use a hot pack or a cold one, cover it to protect your skin.)
  • Treat yourself to a massage. It won't address the underlying source of your back pain, but it will help you relax and can temporarily soothe pulled muscles, tense shoulders, and lower back pain. If paying for a massage will strain your finances, try to enlist your partner or a friend to give you a rubdown.
  • Learn relaxation techniques. They may help you cope with the discomfort and can be especially useful at bedtime.
By the way, don't forget to pay attention to your diet. Good nutrition will help your body heal faster, and a healthy diet – combined with exercise – is the ticket to losing any extra pounds that may be causing additional stress on your joints and back.
Are there other things to try if the above measures don't help enough?

Yes, but begin by letting your caregiver know if your back pain doesn't respond to the self-care measures above. She can evaluate your situation, discuss treatment options, and refer you to a specialist, if necessary.
Other options you might want to consider:


  • Ibuprofen or acetaminophen may offer some temporary relief. Don't take more than recommended, and if you find you need them more than occasionally or they're not helping, talk to your caregiver. She may prescribe other medication as a short-term measure. (Let her know if you're breastfeeding.)

    Read more about drug safety during breastfeeding.
  • Some back pain sufferers respond well to physical therapy. Plus, a physical therapist can teach you exercises to do on your own that will help prevent later episodes of low back pain.
  • There's some evidence that acupuncture may be helpful in providing pain relief.
  • Some women find that chiropractic care is helpful.
What symptoms should prompt an urgent call to my caregiver?

Call your caregiver immediately if:

  • Your back pain is severe, constant, or getting progressively worse, or if it's caused by trauma or accompanied by a fever.
  • You've lost feeling in one or both legs, or you suddenly feel uncoordinated or weak.
  • You have a loss of sensation in your buttocks, groin, genital area, or your bladder or anus, which may make it hard to pee or have a bowel movement or, alternatively, cause incontinence.Postpartum back pain: How to get relief | BabyCenter

DAWA YA MAUMIVU YA MGONGO BAADA YA KUJIFUNGUWA MZAZI.


Mimi ninakupa Tiba ya Mbadala ya Maumivu ya Mgongo atumie kiasi cha wiki kisha uje hapa unipe Feedback. Fanya hivi: Kila Dawa ni Yenye kujitegemea unachaguwa iliyokuwa kwako ni Rahisi kuitumia:

(1) Dawaya Maumivu ya Mgongo: Chukuwa Mafuta Ya Ubani kwa jina la kiarabu yanaitwa ( Zeti Lubani) Na Jipake Sehemu Ya Maumivu Na Inshaallah utapona

(2) Kuumwa kwa Mgongo (Sehemu ya Chini):
Changanya asali pamoja na ¼ (robo) kijiko cha Habbat-Sawdaa na iwe kitu cha kwanza kunywa wakati wa asubuhi kabla ya kufungua kinywa.

(3) Maumivu ya mgongo ni tatizo kubwa sana linalowakumba watu tofauti.
Maumivu hayo hutokana na ukaaji kitako wa mtu, matatizo ya kibinafsi
(stress) pamoja na uzito wa mwili wa mtu mwenyewe.

Mara nyingi maumivu ya mgongo huanzia katika kiungo cha kiuno mgongoni na pia maumivu hayo hupandi hadi kufikia katikati ya mgongo.

Na wengi wao huumwa na aina ya mgongo inayoitwa "cervical and lumbar spondylosis" hii hutokana mifupa kuregea na kuachana katika nafasi zao.

Sababu:
Moja katika sababu za kuumwa na mgongo ni upungufu wa harakati za mwili. Mtu hatakiwi kujipweteka siku nzima ni lazima uwe na harakati ili mwili uchangamke na kwa yule anayeweza kufanya mazoezi basi vyema kufanya mazoezi hayo.

Kati ya sababu nyengine ambazo pia huchangia kuumwa na mgongo ni kwa wale wenye matatizo ya kidney na wenye matatizo ya kike (uzazi n.k)

Sababu hii ni sababu ambayo wengine wetu huumwa mgongo kwajili ya ukaaji sana kitako na pia kuvaa viatu vyenye heels refu.
Unapokaa sana ujue namna ya kukaa unatakiwa lazima unyooshe mgongo wako sio ushafika ofisini unajipweteka ndio hapo unaporudi unajikuta mgongo sio wako.
Na kwa wale wanaopenda kuvaa viatu virefu ni vyema wasivae viatu hivo ikiwa watakuwa na harakati nyingi au mwendo mrefu., kwani unalazimisha mascles zako zifanye kazi overload ndipo baadae huchoka zile muscles na hutoa maumivu ya mgongo.

Tumia dawa zifuatazo ili uweze kuponesha mgongo wako:

Kitunguu Saumu
Chukua mafuta yoyote uyapendayo ikiwa ya nazi au ya ufuta kiasi cha 60ml uweke katika frying pan na utie vichembe vitatu vya Kitunguu Saumu yakaange mafuta hayo mpaka Kitunguu saumu zibadilike rangi, baadae ujipake mgongoni bila kuchua na ukae nayo kwa muda wa masaa matatu baada ya hapo unaweza kwenda kukoga tena kwa maji ya vugu vugu (warm water).

NDIMU:
Kamua juici ya ndimu katika glass ya maji utie na chumvi kijiko kimoja kunywa kwa siku mara mbili. Mungu akipenda utapata nafuu.

Ulaji bora:
Mwenye matatizo ya mgongo anatakiwa ale salata kwa wingi kama vile nyanya, carrot, cabbage, matango na vile vile anatakiwa achemshe hizi mboga mboga (asichemshe sana) pia anatakiwa ale fruit Matunda kwa wingi isipokuwa ndizi asile.

Ulaji wa asubuhi:

fruit na maziwa

Ulaji wa mchana:
mboga mboga zilizoshemshwa kidogo tu pamoja na chapati za unga wa ngano nzima

Ulaji wa jioni:
Fresh juice au fruit.

Ulaji wa usiku:
Bakuli zima la Salata

Unatakiwa uache kula vyakula vya mafuta pamoja na vyakula vya sukari nyingi.

Sigara na aina zote za tobacco anatakiwa mwenye Maumivu ya Mgongo aache mara
moja.

Unaweza kujikanda kanda (pole pole) kwa kutumia mpira ya maji ya moto.

na kuoga kila siku kwa maji ya moto inasaidia kupunguza maumivu.

(4) Kutibu Maradhi ya Mgongo Mwambie Mgonjwa anapo amka Asubuhi kabla ya kula kitu na kabla ya kupiga mswaki achemshe maji ya Uvuguvugu Anywe Glasi 2 kisha aende kupiga mswaki na akisha maliza kupiga mswaki achemshe tena maji ay ugvuvugu Glasi moja anywe na akae kwa muda kama dakika 45 ndio anaweza kunywa chai ya asubuhi .

Na ikifika wakati wa mchana kabla ya kula kitu achemshe tena maji ya Uvuguvugu anywe Glasi 1 kisha akae kama dakika 45 kisha ndio anaweza kula chakula cha mchana.

Na ikifika wakati wa usiku kabla ya kula chakula cha usiku achemshe tena maji ya Uvuguvugu glasi 1 anywe na akae kamadakika 45 ndio anaweza kula chakula cha usiku kisha wakati wa kwenda kulala achemshe tena maji Glasi 1 anywe ndio alale usingizi afanye hivyo kwa muda wa wiki 2 atakuwa amepona kabisa hayo maradhi yake ya Maumivu ya mgongo.

Tumia moja kati ya hizo dawa kisha uje hapa unipe Maendeleo ya Mgonjwa wako anaendeleaje? MKUU.@gforum
 
Salamu wanaJF. Naomba ushauri wenu pamoja na mawazo. Nasumbuliwa na mgongo toka mwaka jana Oktoba, nimekwenda hosp nikaambiwa kuwa niko na uzito mkubwa kg 120 urefu cm 198, nimejitahidi kupunguza mpaka sasa nina kg 104 lakini bado mgongo unauma, unakuwa stiff toka shingoni mpaka chini. Naomba ushauri wenu tafadhali.
 
nafkiri uzito bado ni mkubwa,we shushuli zako huwa unafanya katika mazingira gani?,unakaa sana muda mrefu au unasimama.jaribu kuchek humu kuna uzi ulitolewa namna ya kupunguza uzito.
 
nafkiri uzito bado ni mkubwa,we shushuli zako huwa unafanya katika mazingira gani?,unakaa sana muda mrefu au unasimama.jaribu kuchek humu kuna uzi ulitolewa namna ya kupunguza uzito.
Asante kwa ushauri wako. Nitafuatilia huo uzi. Kazi zangu ni za kukaa muda mrefu zinazohusu kutumia kompyuta.
 
Pole mkuu, sikutishi, lakini ni ukweli kabisa, kuna jamaa yangu alikuwa na matatizo ya mgongo kama mwaka hivi, na kamaliza kila hospital hapa kwetu awajaona chochote, akaja kwenda uingereza kwa shughuli zake za kibiashara, mgongo ukamzidia kwenda hospital wamemgundua na kansa, yani uvimbe ni mkubwa mno, na wamesema ni kitu cha kuona kwenye picha za x-ray, sasa sijui madokta wetu walipitiwa na nini, sikutishi mkuu, mwenzio toka nijue hiyo habari yani sijitii usugu tena. mwili ni wakusikiliziwa hasa. ndiyo unene unachangia some time lakini siyo kuumwa mwaka wote.
 
Maumivu ya mgongo ni tatizo kubwa sana linalowakumba watu tofauti.
Maumivu hayo hutokana na ukaaji kitako wa mtu, matatizo ya kibinafsi
(stress) pamoja na uzito wa mwili wa mtu mwenyewe.

Mara nyingi maumivu ya mgongo huanzia katika kiungo cha kiuno mgongoni na pia maumivu hayo hupandi hadi kufikia katikati ya mgongo.

Na wengi wao huumwa na aina ya mgongo inayoitwa "cervical and lumbar spondylosis" hii hutokana mifupa kuregea na kuachana katika nafasi zao.

Sababu:
Moja katika sababu za kuumwa na mgongo ni upungufu wa harakati za mwili. Mtu hatakiwi kujipweteka siku nzima ni lazima uwe na harakati ili mwili uchangamke na kwa yule anayeweza kufanya mazoezi basi vyema kufanya mazoezi hayo.

Kati ya sababu nyengine ambazo pia huchangia kuumwa na mgongo ni kwa wale wenye matatizo ya kidney na wenye matatizo ya kike (uzazi n.k)

Sababu hii ni sababu ambayo wengine wetu huumwa mgongo kwajili ya ukaaji sana kitako na pia kuvaa viatu vyenye heels refu.
Unapokaa sana ujue namna ya kukaa unatakiwa lazima unyooshe mgongo wako sio ushafika ofisini unajipweteka ndio hapo unaporudi unajikuta mgongo sio wako.
Na kwa wale wanaopenda kuvaa viatu virefu ni vyema wasivae viatu hivo ikiwa watakuwa na harakati nyingi au mwendo mrefu., kwani unalazimisha mascles zako zifanye kazi overload ndipo baadae huchoka zile muscles na hutoa maumivu ya mgongo.

Tumia dawa zifuatazo ili uweze kuponesha mgongo wako:

Kitunguusaumu: Garlic
Chukua mafuta yoyote uyapendayo ikiwa ya nazi au ya ufuta kiasi cha 60ml uweke katika frying pan na utie vichembe vitatu vya Kitunguu saumu yakaange mafuta hayo mpaka vitunguusaumu zibadilike rangi, baadae ujipake mgongoni bila kuchua na ukae nayo kwa muda wa masaa matatu baada ya hapo unaweza kwenda kukoga tena kwa maji ya vugu vugu (warm water).

NDIMU:
Kamua juici ya ndimu katika glass ya maji utie na chumvi kijiko kimoja kunywa kwa siku mara mbili. Mungu akipenda utapata nafuu.

Ulaji bora:
Mwenye matatizo ya mgongo anatakiwa ale salad kwa wingi kama vile tungule, carrot, cabbage, matango na vile vile anatakiwa achemshe hizi mboga mboga (asichemshe sana) pia anatakiwa ale fruit kwa wingi isipokuwa ndizi asile.
Ulaji wa asubuhi:
fruit na maziwa
Ulaji wa mchana:
mboga mboga zilizoshemshwa kdg tu pamoja na chapati za unga wa ngano nzima
Ulaji wa jioni:
Fresh juice au fruit.
Ulaji wa usiku:
Bakuli zima la Salad

Unatakiwa uache kula vyakula vya mafuta pamoja na vyakula vya sukari nyingi.

Sigara na aina zote za tobacco anatakiwa mwenye backache aache mara
moja.

Unaweza kujikanda kanda (pole pole) kwa kutumia mpira ya maji ya moto.

Tumia Dawa kisha unipe mimi Maendeleo yako unaendeleaje? Please give me your feedback

Ukitaka Dawa ya Kupunguza Unene na Mafuta mwilini pamoja na uzito bonyeza hapa
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/345085-good-news-kwa-wale-wenye-kutaka-kupunguza-uzito-wa-mwili-na-unene-na-mafuta-mwilini.html
 
Mfikilwa nashukuru sana kwa taarifa yako ya kina. Nimefanya x-ray pia, kilichoonekana ni kwamba mgongo wangu una kilema cha kutokupinda sehemu ya kiuno, kwa hiyo uzito wa mwili kubebwa zaidi na mgongo. Mfikilwa nijuze pia ulipata matibabu gani, nimezingatia logical flow ya taarifa yako naona mwishoni kama nawe pia umewahi pata tatizo hilo
 
Mfikilwa nashukuru sana kwa taarifa yako ya kina. Nimefanya x-ray pia, kilichoonekana ni kwamba mgongo wangu una kilema cha kutokupinda sehemu ya kiuno, kwa hiyo uzito wa mwili kubebwa zaidi na mgongo. Mfikilwa nijuze pia ulipata matibabu gani, nimezingatia logical flow ya taarifa yako naona mwishoni kama nawe pia umewahi pata tatizo hilo

fuata ushauri wa MZIZIMKAVU, Nasikia mafuta ya Ubuyu ni mazuri sana, fuatilia kwa kina pia, kama uko Tz yanapatikana Dodoma au ni pm nikujuze
 
Mzizimkavu nimekuzoea sana jukwaa la picha kumbe na huku upo au ndio manana umpotea kidogo kule?, safi sananaona huku unatamalaki zaidi kwa kuwa utaponya wengi
Maumivu ya mgongo ni tatizo kubwa sana linalowakumba watu tofauti.

Maumivu hayo hutokana na ukaaji kitako wa mtu, matatizo ya kibinafsi

(stress) pamoja na uzito wa mwili wa mtu mwenyewe.

Mara nyingi maumivu ya mgongo huanzia katika kiungo cha kiuno mgongoni na pia maumivu hayo hupandi hadi kufikia katikati ya mgongo.

Na wengi wao huumwa na aina ya mgongo inayoitwa
"cervical and lumbar spondylosis" hii hutokana mifupa kuregea na kuachana katika nafasi zao.

Sababu:
Moja katika sababu za kuumwa na mgongo ni upungufu wa harakati za mwili. Mtu hatakiwi kujipweteka siku nzima ni lazima uwe na harakati ili mwili uchangamke na kwa yule anayeweza kufanya mazoezi basi vyema kufanya mazoezi hayo.

Kati ya sababu nyengine ambazo pia huchangia kuumwa na mgongo ni kwa wale wenye matatizo ya kidney na wenye matatizo ya kike (uzazi n.k)

Sababu hii ni sababu ambayo wengine wetu huumwa mgongo kwajili ya ukaaji sana kitako na pia kuvaa viatu vyenye heels refu.
Unapokaa sana ujue namna ya kukaa unatakiwa lazima unyooshe mgongo wako sio ushafika ofisini unajipweteka ndio hapo unaporudi unajikuta mgongo sio wako.
Na kwa wale wanaopenda kuvaa viatu virefu ni vyema wasivae viatu hivo ikiwa watakuwa na harakati nyingi au mwendo mrefu., kwani unalazimisha mascles zako zifanye kazi overload ndipo baadae huchoka zile muscles na hutoa maumivu ya mgongo.


Tumia dawa zifuatazo ili uweze kuponesha mgongo wako:

Kitunguusaumu: Garlic

Chukua mafuta yoyote uyapendayo ikiwa ya nazi au ya ufuta kiasi cha 60ml uweke katika frying pan na utie vichembe vitatu vya Kitunguu saumu yakaange mafuta hayo mpaka vitunguusaumu zibadilike rangi, baadae ujipake mgongoni bila kuchua na ukae nayo kwa muda wa masaa matatu baada ya hapo unaweza kwenda kukoga tena kwa maji ya vugu vugu (warm water).

NDIMU:
Kamua juici ya ndimu katika glass ya maji utie na chumvi kijiko kimoja kunywa kwa siku mara mbili. Mungu akipenda utapata nafuu.

Ulaji bora:
Mwenye matatizo ya mgongo anatakiwa ale salad kwa wingi kama vile tungule, carrot, cabbage, matango na vile vile anatakiwa achemshe hizi mboga mboga (asichemshe sana) pia anatakiwa ale fruit kwa wingi isipokuwa ndizi asile.
Ulaji wa asubuhi:
fruit na maziwa
Ulaji wa mchana:
mboga mboga zilizoshemshwa kdg tu pamoja na chapati za unga wa ngano nzima
Ulaji wa jioni:
Fresh juice au fruit.
Ulaji wa usiku:
Bakuli zima la Salad

Unatakiwa uache kula vyakula vya mafuta pamoja na vyakula vya sukari nyingi.

Sigara na aina zote za tobacco anatakiwa mwenye backache aache mara
moja.

Unaweza kujikanda kanda (pole pole) kwa kutumia mpira ya maji ya moto.

Tumia Dawa kisha unipe mimi Maendeleo yako unaendeleaje?
Please give me your feedback

Ukitaka Dawa ya Kupunguza Unene na Mafuta mwilini pamoja na uzito bonyeza hapa
https://www.jamiiforums.com/jf-doct...zito-wa-mwili-na-unene-na-mafuta-mwilini.html
 
Mkuu jaribu kufanya mazoezi inasaidia sana niliuwahi kuumwa na mgongo na nilipoanza kufanya mazoezi tatizo limeisha kabisaaaa!
Pole sn najua maumivu yake
 
fuata ushauri wa MZIZIMKAVU, Nasikia mafuta ya Ubuyu ni mazuri sana, fuatilia kwa kina pia, kama uko Tz yanapatikana Dodoma au ni pm nikujuze
Mkuu Amavubi Angalia Faida ya Mafuta ya Ubuyu

MBUYU: MTI WENYE FAIDA LUKUKI KIAFYA






attachment.php




Mungu ameumba miti na mimia kwa ajili ya binadamu. Kila mti au mmea una makusudio yake. Mbuyu ni miongoni mwa miti yenye faida nyingi na maajabu mengi. Vitu vyote vilivyomo kwenye mbuyu vinatumika kama chakula au dawa kwa faida ya binadamu.

UBUYU WENYEWE
Unga wa ubuyu unaelezwa kuwa na vitamini na madini mengi kuliko matunda mengine. Inaelezwa kuwa unga wa ubuyu una Vitamin C nyingi kuliko hata machungwa na ina kiwango kingi cha madini ya kashiamu (Calcium) kuliko hata maziwa ya ng’ombe.

Aidha, unga wa ubuyu ni chanzo kikubwa cha madini mengine aina ya chuma (iron), Potasiamu (Pottasium) na manganizi (magnesium). Inaelezwa kuwa kiwangao cha Potasiamu kilichomo kwenye unga wa ubuyu ni mara sita zaidi ya kile kinachopatikana kwenye ndizi. Ubuyu ni muhimu sana kwa watu wenye matatizo ya figo.

Vile vile unga wa ubuyu una uwezo mkubwa wa kuongeza kinga ya mwili (antioxidant) kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha virutubisho vya kuongeza kinga mwilini dhidi ya magonjwa nyemelezi. Kiwango chake kinazidi hata kile kinachotolewa na matunda mengine kama vile Krenberi, bluberi na blakberi. Ili upate faida za unga wa ubuyu zinazoelezwa hapa, lazima ule ubuyu halisi usiochanganywa na kitu kingine cha kuongeza ladha.

MAFUTA YA UBUYU
Mafuta ya ubuyu, ambayo hutengenezwa kutokana na mbegu zake, ni mazuri kwa kulainisha ngozi na kukarabati au kuponya ngozi iliyoathiriwa na magonjwa ya ngozi mbalimbali, ikiwemo fangasi, vipele na chunusi.

.Mafuta ya ubuyu yana uwezo wa kuifanya ngozi kuwa nyororo na laini kutokana na kuwa na kiasi kingi cha mafuta aina ya Omega 3 na Omega 6 na ina kiasi kingi cha Vitamin A, D na E ambazo zote ni muhimu kwa ustawi na uimarishaji wa ngozi ya binadamu.
Mafuta ya ubuyu yanaelezwa kuwa na virutubisho vinavyoweza kuondoa mikunjo ya ngozi, mabaka, michirizi na hata makunyazi na kuicha ngozi kuwa mpya. Hutoa kinga dhidi ya uharibifu wowote wa ngozi unaoweza kujitokeza baadaye.

JINSI YA KUTUMIA MAFUTA
Mafuta ya ubuyu unaweza kuyatumia kwa kupaka usoni au mwili mzima moja kwa moja. Unaweza kuyatumia mafuta haya kwa kupaka sehemu tu iliyoathiriwa kama dawa. Unaweza pia kuchanganya na mafuta au losheni unayotumia.
Ili kupata matokeo unayotarajia, hakikisha unatumia mafuta halisi ya ubuyu ambayo hayajachanganywa na kitu kingine wakati wa kutengeneza.

UPATIKANAJI WAKE
Bidhaa za ubuyu zimeanza kujipatia umaarufu nchini Tanzania na hivi sasa kuna makampuni na wajasiriamali binafsi wanaojishughulisha na utengenezaji na uuzaji wa bidhaa mbalimbali zitokanazo na ubuyu, hivyo upatikanaji wake ni rahisi iwapo utaulizia maeneo unayoishi.
Bidhaa zingine zinazoweza kutengenezwa kutokana na mti huu ni pamoja na majani yake ambayo hutumika kama dawa, mizizi na magamba yake pia. Kwa ujumla mti wote wa ubuyu una faida na hakuna kitu kinachotupwa kwenye mti huu ambao ni miongoni mwa miti yenye matunda bora yaliyopewa jina la ‘superfruit’

Mzizimkavu nimekuzoea sana jukwaa la picha kumbe na huku upo au ndio manana umpotea kidogo kule?, safi sananaona huku unatamalaki zaidi kwa kuwa utaponya wengi
Mkuu Amavubi huku ndipo kwenye jukwaa ninalolipenda sana kuliko Majukwaa yote yaliomo humu ndani ya Jamii forums


 

Attachments

  • UBUYU1.jpg
    UBUYU1.jpg
    62.2 KB · Views: 1,147
Last edited by a moderator:
Maumivu ya mgongo ni tatizo kubwa sana linalowakumba watu tofauti.
Maumivu hayo hutokana na ukaaji kitako wa mtu, matatizo ya kibinafsi
(stress) pamoja na uzito wa mwili wa mtu mwenyewe.

Mara nyingi maumivu ya mgongo huanzia katika kiungo cha kiuno mgongoni na pia maumivu hayo hupandi hadi kufikia katikati ya mgongo.

Na wengi wao huumwa na aina ya mgongo inayoitwa "cervical and lumbar spondylosis" hii hutokana mifupa kuregea na kuachana katika nafasi zao.

Sababu:
Moja katika sababu za kuumwa na mgongo ni upungufu wa harakati za mwili. Mtu hatakiwi kujipweteka siku nzima ni lazima uwe na harakati ili mwili uchangamke na kwa yule anayeweza kufanya mazoezi basi vyema kufanya mazoezi hayo.

Kati ya sababu nyengine ambazo pia huchangia kuumwa na mgongo ni kwa wale wenye matatizo ya kidney na wenye matatizo ya kike (uzazi n.k)

Sababu hii ni sababu ambayo wengine wetu huumwa mgongo kwajili ya ukaaji sana kitako na pia kuvaa viatu vyenye heels refu.
Unapokaa sana ujue namna ya kukaa unatakiwa lazima unyooshe mgongo wako sio ushafika ofisini unajipweteka ndio hapo unaporudi unajikuta mgongo sio wako.
Na kwa wale wanaopenda kuvaa viatu virefu ni vyema wasivae viatu hivo ikiwa watakuwa na harakati nyingi au mwendo mrefu., kwani unalazimisha mascles zako zifanye kazi overload ndipo baadae huchoka zile muscles na hutoa maumivu ya mgongo.

Tumia dawa zifuatazo ili uweze kuponesha mgongo wako:

Kitunguusaumu: Garlic
Chukua mafuta yoyote uyapendayo ikiwa ya nazi au ya ufuta kiasi cha 60ml uweke katika frying pan na utie vichembe vitatu vya Kitunguu saumu yakaange mafuta hayo mpaka vitunguusaumu zibadilike rangi, baadae ujipake mgongoni bila kuchua na ukae nayo kwa muda wa masaa matatu baada ya hapo unaweza kwenda kukoga tena kwa maji ya vugu vugu (warm water).

NDIMU:
Kamua juici ya ndimu katika glass ya maji utie na chumvi kijiko kimoja kunywa kwa siku mara mbili. Mungu akipenda utapata nafuu.

Ulaji bora:
Mwenye matatizo ya mgongo anatakiwa ale salad kwa wingi kama vile tungule, carrot, cabbage, matango na vile vile anatakiwa achemshe hizi mboga mboga (asichemshe sana) pia anatakiwa ale fruit kwa wingi isipokuwa ndizi asile.
Ulaji wa asubuhi:
fruit na maziwa
Ulaji wa mchana:
mboga mboga zilizoshemshwa kdg tu pamoja na chapati za unga wa ngano nzima
Ulaji wa jioni:
Fresh juice au fruit.
Ulaji wa usiku:
Bakuli zima la Salad

Unatakiwa uache kula vyakula vya mafuta pamoja na vyakula vya sukari nyingi.

Sigara na aina zote za tobacco anatakiwa mwenye backache aache mara
moja.

Unaweza kujikanda kanda (pole pole) kwa kutumia mpira ya maji ya moto.

Tumia Dawa kisha unipe mimi Maendeleo yako unaendeleaje? Please give me your feedback

Ukitaka Dawa ya Kupunguza Unene na Mafuta mwilini pamoja na uzito bonyeza hapa
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/345085-good-news-kwa-wale-wenye-kutaka-kupunguza-uzito-wa-mwili-na-unene-na-mafuta-mwilini.html
MziziMkavu nakubaliana na wew kwa asilimia1100 % nilikuwa natatizo kwa muda mrefu sana lakini mapaka sasa niko okay kabisa kwa kutumia vitunguuswaumu na mafuta kama ilivyoelekezwa. Pamoja sana
 
Habari wana jamvi!
Naomba msaada wenu, karibu miezi miwili sasa nasumbuliwa na maumivu ya mgongo na shingo. Najaribu kufanya mazoezi asubuhi lakn bado hayaondoki, naombeni msaada wenu nini nifanye kuondoa kadhia hii
 
Maumivu ya mgongo

back_pain.jpg
Nne kwa watu wazima watano uzoefu maumivu nyuma wakati fulani, lakini nyuma ni hivyo tata kila mtu anahitaji chaguzi matibabu ya mtu binafsi. Kugundua zaidi juu ya jinsi y nyuma matendo yenu, nini kinaweza kwenda vibaya na jinsi ya kuzuia tatizo ya nyuma.



Sababu & madhara ya maumivu mgongo


Kuna mambo mengi ambayo inaweza kuweka mzigo mkubwa kwa mgongo, kutoka matatizo ya kawaida siku hadi siku na hali ya matibabu ya msingi. Kujua jinsi ya nyuma yako kazi.

Watu wengi kuwa na maumivu ya papo hapo na painkillers kawaida kwa kawaida kusaidia kama kuchukuliwa mara kwa mara na kwa mujibu wa maelekezo.

Dr Gill Jenkins mwisho medically upya makala hii katika Februari 2010. Mwili pia inazalisha painkillers yake ya asili iitwayo endorphins. Mazoezi na matibabu kama vile ghiliba tiba ya mwili, na acupuncture kusaidia kuongeza endorphins katika mwili wako.
Maumivu sugu ni ngumu zaidi kuliko maumivu ya papo hapo kwa msaada na wakati mwingine haina kukabiliana na

matibabu kama vile painkillers juu-ya kukabiliana na tiba ya mwili.
Watu wenye maumivu sugu mara nyingi haja ya ushauri wa mtaalamu na msaada. Wakati mwingine, hujulikana na

madaktari na physiotherapists katika kliniki za maumivu.
Pamoja na kwamba kesi zaidi ya maumivu nyuma husababishwa na msongo na uchovu wa sisi kuweka miili yetu chini, baadhi ya masharti wanaweza kufanya tatizo mbaya au trigger katika nafasi ya kwanza.

Maumivu ya mgongo: wakati kuona daktari wako

Watu wengi na maumivu ya mgongo kamwe wanahitaji kuona daktari wao. Lakini unapaswa kuhisi na uwezo wa kuwaita au kutembelea daktari wako kama una wasiwasi juu ya nyuma yako au kujisikia hawezi kukabiliana na maumivu. Kama kanuni ya jumla, watu wenye maumivu nyuma wanashauriwa kuwasiliana na daktari wao kama maumivu ni si bora baada ya wiki moja.

Wewe bila ya shaka kuona daktari haraka iwezekanavyo kama una dalili zozote hizi:
  • Ugumu kupitisha mkojo, au kama wewe ni kupitisha damu
  • Ganzi karibu kifungu nyuma au sehemu za siri
  • Ganzi, pini na sindano au udhaifu katika miguu au mikono
  • Maumivu mbio chini miguu mmoja au wote
  • Unsteadiness wakati amesimama
Hizi ni kuhusishwa na hali ya kawaida, lakini wale wanaohitaji matibabu mara moja.


Nini madaktari wanaweza kufanya kwa ajili ya maumivu ya mgongo

Hakuna kurekebisha haraka kwa ajili ya maumivu mengi ya mgongo na daktari wako ni uwezekano wa kuwa na uwezo wa 'tiba'. Hata hivyo, watakuwa na uwezo wa:

  • Kuangalia huna hali mbaya
  • Kujadili mkao wako na kiwango cha shughuli
  • Kama inahitajika, msaada na mpango uzito-hasara
  • Kuagiza aina nyingine ya painkiller
  • Kukuelekeza kwa wataalamu wengine wa afya ambao wanaweza kusaidia

Daktari wako pengine kuwapa uchunguzi wa kimwili na kuuliza juu ya maumivu yako ya mgongo.
Hapa ni baadhi ya maswali kinachowezekana GP wako kuuliza. Fikiria yao kwa njia ya kufanya zaidi ya mitihani yako ya matibabu:
  • Lini maumivu yako ya mgongo kuanza?
  • Ulikuwa unafanya nini wakati ilianza?
  • Je, alikuwa na matatizo yoyote nyuma katika miaka ya nyuma?
  • Ambapo ni maumivu yako?
  • Ni aina gani ya maumivu ni - mwanga mdogo, kutoboa au risasi?
  • Je, ni kukaa katika sehemu moja?
  • Kinachofanya maumivu bora, au mbaya?
  • Je, kuwa na dalili nyingine yoyote, katika nyuma yako au mahali pengine?
  • Je, maumivu yako ya nyuma kuacha kufanya?
  • Una nini wamekuwa wakifanya ambayo inaweza imechangia kutoa mwenyewe nyuma mbaya?
  • Unaweza kufanya nini katika siku zijazo ili kujaribu na kuendelea wako nyuma na afya kwa muda mrefu?
Kama huna furaha na uchunguzi ya daktari wako au kama dalili zako kuendelea kurudi, kurudi nyuma na daktari au kuuliza mwingine mtaalam wa afya kwa maoni yao.

Watu wengine ambao wanaweza kusaidia maumivu ya mgongo

Kama tatizo nyuma yako haina wazi juu haraka, familia yako Daktari anaweza kukuelekeza kwa wataalamu ya afya mwingine. Hii ni zaidi uwezekano kuwa physiotherapist au daktari mwingine, na inaweza kuhusisha ziara ya hospitali kwa ajili ya mitihani ya majaribio, na matibabu.


Hata kama daktari wako hana kukuongoza kwa mtu mwingine, unaweza kutembelea mwingine mhudumu wa afya katika faragha. Baadhi ya watu kwenda moja kwa moja osteopath physiotherapist, au chiropractor haraka kama maumivu nyuma kuanza, lakini hii inaweza kuwa ghali.

Vikao vya binafsi anaweza gharama karibu £ 30, na mganga wa kupendekeza kozi ya tiba zaidi ya wiki kadhaa. Ni wazo nzuri kuangalia na daktari wako kama unaweza kuona mtu juu ya NHS kabla ya kufanya maamuzi juu ya nani kuona faragha. Baadhi ya madaktari wanaweza kukuelekeza kwa osteopath au acupuncturist.

Kama huna kuamua kuona daktari faragha, mapendekezo binafsi ni mwanzo mzuri. Lakini kumbuka nyuma yako tatizo ni ya kipekee - kwa sababu tu ya wataalamu kusaidiwa rafiki haina maana wao utakuwa na uwezo wa kufanya hivyo kwa ajili yenu.
 
Pole sana. Pamoja na kumuona daktari, jaribu kuangalia godoro unalolalia.

Godoro lisilo la orthopedic linapaswa kubadilishwa kila baada ya miaka minne. Godoro salama zaidi ni la spring, japo nalo linapaswa kubadilishwa. Lala wiki moja tu kwenye godoro jipya uone itakavyokuwa.

Kama maumivu ya shingo yanaambatana na ya mabega (vipapatio), inawezekana ni kutokana na kiti unachokalia kutwa ama una stress za kazi.
 
Back
Top Bottom