ZOPPA
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 2,691
- 2,787
msaada tafadhali nilikua najiskia vibaya homa kali kichwa kuuma kila muda vidonda mdomon nikaenda kituo cha afya kupima nikaambiwa nina typhod 160 nikapewa dozi aina ya sipro tangia nilivyo meza hizi dawa kichwa kinauma sana miguu inapasua mapigo ya moyo kwenda mbio msahada tafadhali kwa wajizu si mzoefu kwenye uwandaishi