Maumivu kwenye uume wakati wakukojoa Mara baada ya sex

Mtu Kwao

JF-Expert Member
Sep 2, 2019
388
700
Wataalamu habari!!

Hivi hii Hali ni kawaida au Mimi tu ndo natatizo
Kila nikimaliza kufanya mapenzi
Afu nikaenda kukojoa basi huwa napata maumivu fulani kwenye kichwa Cha uume kwa ndani yani inakuwa kama kuna sindano inachoma
Lakini baada ya masaa 3 hivi nikienda kukojoa maumivu yanakuwa yameisha

Je maumivu hayo husababishwa na Nini na je ni hali tu ya kawaida au natatizo
 
UTI hiyo chukua hatua kama siyo UTI Basi magonjwa mengine ya ngono
 
Kinga ya mwili yako ipo juu
ila mpenz/wapenz wako ana FUNGAL au BACTERIA ambao hawapaswi kukaa kwenye uke ambapoo kimsingi wanakuletea wewe REACTION tofauti ila white blood cell zinawakabili vilivyo hali ikiendelea hivyo utapata URINAL TRUCK INFECTION kali itaathiri urethra mpk kibofu

jambo muhimu kwanza kumtibu mpenz wako
Unaweza kumueleza kwa hekima na busara mpenz wako mkaenda hosptari akapata tiba hilo tatizo litaisha kabisa

kama una wapenzi zaidi ya mmoja tumia Kondom
wanawake zama hizi wana U.T.I sugu sana ambazo zinawaumiza wanaume wengi
 
Wataalamu habari!!

Hivi hii Hali ni kawaida au Mimi tu ndo natatizo
Kila nikimaliza kufanya mapenzi
Afu nikaenda kukojoa basi huwa napata maumivu fulani kwenye kichwa Cha uume kwa ndani yani inakuwa kama kuna sindano inachoma
Lakini baada ya masaa 3 hivi nikienda kukojoa maumivu yanakuwa yameisha

Je maumivu hayo husababishwa na Nini na je ni hali tu ya kawaida au natatizo
Gono 😂😂😂 mtafute Masai hospital utachelewa Sana
 
Wataalamu habari!!

Hivi hii Hali ni kawaida au Mimi tu ndo natatizo
Kila nikimaliza kufanya mapenzi
Afu nikaenda kukojoa basi huwa napata maumivu fulani kwenye kichwa Cha uume kwa ndani yani inakuwa kama kuna sindano inachoma
Lakini baada ya masaa 3 hivi nikienda kukojoa maumivu yanakuwa yameisha

Je maumivu hayo husababishwa na Nini na je ni hali tu ya kawaida au natatizo
Hii hutegemea na shughuli husika inavyofanyika, wakati mwingine watu huwa aggressive/kutumia nguvu na manipulation mbalimbali. Hii huweza kusababisha micro-bruises/vimichubuko ndani ya njia ya mkojo. Hivyo, kutokana na mkojo kuwa na asili ya chumvi basi husababisha maumivu unapopita.

NB: Kama ni kutokana na maambukizi, tatizo kwa asilimia kubwa litaendelea.

Hali hii pia ya kuwaachia watu kushughulika bila kipimo iliwahi kusababisha mishipa ya damu kwenye uume veini na ateri kuungana. Hapo uume ulisimama bila kupumzika kazi ikawa ngumu. Mchanganyiko wa kurogwa nk. Lakini jibu lilipatikana hospitali baafa ya mama mwenye mume kuwekwa pembeni na mzee kujieleza aliingia kichaka kizito. Chukua tahadhali hapo pia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom