Samireal
Member
- Aug 16, 2015
- 88
- 22
Salaam, naomba msaada
Huwa nafanya mazoezi ya kukimbia, kucheza mpira pamoja na mazoezi mengine lakini niliacha kwa muda wa wiki tatu au nne nafikiri,
Jana nilienda uwanjani nikafanya mazoezi ya kukimbia pamoja na kucheza mpira wa miguu kidogo lakini imenitokea hali ambayo sio ya kawaida nahisi maumivu kwenye kibofu, korodani (Mapumbu) na nyonga za ndani. Je inawezekana ikawa ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nafanya mazoezi ya kukimbia, kucheza mpira pamoja na mazoezi mengine lakini niliacha kwa muda wa wiki tatu au nne nafikiri,
Jana nilienda uwanjani nikafanya mazoezi ya kukimbia pamoja na kucheza mpira wa miguu kidogo lakini imenitokea hali ambayo sio ya kawaida nahisi maumivu kwenye kibofu, korodani (Mapumbu) na nyonga za ndani. Je inawezekana ikawa ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app