Maumivu Katikati ya kifua

tete'a'tete

JF-Expert Member
Feb 10, 2010
472
62
Wana Jfs doctors!

Hope muu wazima.

Nina shida moja ni takriban 4 months tatizo langu ni kwamba kuna maumivu nayapata kifuani juu ya maziwa nimejaribu kwenda Aga khan wamenipima kipimo cha echo/ na kile wanaangalia kama una vidonga na walikundua vidonga vya tumbo vinanianza kwa hiyo wakanieleza ni acid iliniunguza kifuani walinipa ile Kit ya kutibu vidonga niliimaliza tatizo liliendelea nikaenda KCMC wakanieleza the same story walinipa dawa mbili Rabeprazole Sodium mg20 na Domperidone maleate12.72mg ambazo ni za kutumia 52days.

Bado nipo kwenye dose lakini juzi niliona maumivu yanazidi nikaenda tena TJM wakanipiga x-ray ya kifua wanasema hawaoni tatizo labda tatizo litakuwa kwenye mifupa.

Ninavyokumbuka sijawahi kuanguka wala kujigonga maumivu yenyewe yanakuwa kama mtu aliyeumia au kuteguka katikati ya kifua huwa nikijinyoosha maumivu yanakuja kama kuna kidonda kifuana na yanachukua kama dakika tano kupoa.

Jamani wana Jfs naomba mwenye kujua nini kinanisumbua na nitumie dawa gani anisaidie natanguliza shukrani zangu...
 
na nivizuri usibadilishe madaktari kama mboga unaweza usipate suluhu nafikiri kama daktari wa kwanza alikuwa mzuri uendelee naye huyo huyo yeye akishindwa ataku-rifaa maana usipokuwa makini utaumiza mwili wako kwa dawa.

Pole sana mtangulize Mungu yeye atafanya njia na utapona tu.
 
pole sana tete"atete hope utapata msaada hapa

pole sana dadangu kama uko jamvini ijumaa kuna maombi ya kuombea wagonjwa

pale interchick uliza kanisa la bsc....pia kama uko mbali na dar nakushauri akuna linaloshindikana kwa bwana yesu

yote yawezekana kwake aaminiye naomba uwe na imani mkabidhi bwana jeraha zako anakwenda kukuponya......naomba tafuta sehemu
ya karibu ya wapendwa waliookoka mueleze shida zako mchungaji mungu anakwenda kufanya njia pasipo na njia

zab 118:17
sitokufa bali nitaishi nikiyasimulia makuu ya bwana akuna sehemu ya kukuidhinisha magonjwa wala kifo

ukapone in jesus name unavyosom hapa
 
pole sana dadangu kama uko jamvini ijumaa kuna maombi ya kuombea wagonjwa
pale interchick uliza kanisa la bsc....pia kama uko mbali na dar nakushauri akuna linaloshindikana kwa bwana yesu
yote yawezekana kwake aaminiye naomba uwe na imani mkabidhi bwana jeraha zako anakwenda kukuponya......naomba tafuta sehemu
ya karibu ya wapendwa waliookoka mueleze shida zako mchungaji mungu anakwenda kufanya njia pasipo na njia

zab 118:17
sitokufa bali nitaishi nikiyasimulia makuu ya bwana akuna sehemu ya kukuidhinisha magonjwa wala kifo

ukapone in jesus name unavyosom hapa

Asante nitafanya hivyo...ubarikiwe sana Pdidy
 
na nivizuri usibadilishe madaktari kama mboga unaweza usipate suluhu nafikiri kama daktari wa kwanza alikuwa mzuri uendelee naye huyo huyo yeye akishindwa ataku-rifaa maana usipokuwa makini utaumiza mwili wako kwa dawa.

Pole sana mtangulize Mungu yeye atafanya njia na utapona tu.

Thanks Kabula ni kweli usemayo lakini nilijaribu tena kuchekiwa na Xray usije kuta kuna shida lakini hawajaona kitu chochote but ngoja niendelee na hizi dawa za 52 days nizimalize then niione what next....
 
Shika kifua chako hapo ulipo..
Sema

bwana yesu nakuja mbele zako;naitaji rehema zako,najua nimekukosea kwa mawazo maneno na matendo
nakuomba yesu unirehemu dhambi zangu zote imeandikwa zab 118:17 sitokufa bali nitaishi nikiyasimulia makuu ya bwana
bwana yesu ulipigwa msalabani kwa ajili yangu na kwa kupigwa kwako nimepona mchan huu w leo natangaza kuachiliwa kifua changu akuna maumivu wala mateso yatakayorndelea juu yangu..ninakataa na kuvunja nira za shetan swa na 1 samwel 10:2 ninaamuru
visasi vyote vya babangu mamangu na ukoo wangu vinitoke mchana huu natangaza vita juu ya shetan akuna
malango yatakayokaa ju yangu saa hii bwana yesu nakushukuru kwa upendo wako ahsante kwa kunipenda natangaza kuwa
huru katika jina la baba na mwana na roho mtakatifu......................
Amen

fanya usiloweza kuanzia sasa
 
Shika kifua chako hapo ulipo..
Sema

bwana yesu nakuja mbele zako;naitaji rehema zako,najua nimekukosea kwa mawazo maneno na matendo
nakuomba yesu unirehemu dhambi zangu zote imeandikwa zab 118:17 sitokufa bali nitaishi nikiyasimulia makuu ya bwana
bwana yesu ulipigwa msalabani kwa ajili yangu na kwa kupigwa kwako nimepona mchan huu w leo natangaza kuachiliwa kifua changu akuna maumivu wala mateso yatakayorndelea juu yangu..ninakataa na kuvunja nira za shetan swa na 1 samwel 10:2 ninaamuru
visasi vyote vya babangu mamangu na ukoo wangu vinitoke mchana huu natangaza vita juu ya shetan akuna
malango yatakayokaa ju yangu saa hii bwana yesu nakushukuru kwa upendo wako ahsante kwa kunipenda natangaza kuwa
huru katika jina la baba na mwana na roho mtakatifu......................
Amen

fanya usiloweza kuanzia sasa

Amen mama mia! nimefanya hivyo naamini mungu ameshaniponya! will update you for the progress...

Ubarikiwe na bwana...
 
je sio matatizo ya moyo?je unafanya kazi sana bila kupumzika?una matatizo ya Pressure?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom