tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Wana Jfs doctors!
Hope muu wazima.
Nina shida moja ni takriban 4 months tatizo langu ni kwamba kuna maumivu nayapata kifuani juu ya maziwa nimejaribu kwenda Aga khan wamenipima kipimo cha echo/ na kile wanaangalia kama una vidonga na walikundua vidonga vya tumbo vinanianza kwa hiyo wakanieleza ni acid iliniunguza kifuani walinipa ile Kit ya kutibu vidonga niliimaliza tatizo liliendelea nikaenda KCMC wakanieleza the same story walinipa dawa mbili Rabeprazole Sodium mg20 na Domperidone maleate12.72mg ambazo ni za kutumia 52days.
Bado nipo kwenye dose lakini juzi niliona maumivu yanazidi nikaenda tena TJM wakanipiga x-ray ya kifua wanasema hawaoni tatizo labda tatizo litakuwa kwenye mifupa.
Ninavyokumbuka sijawahi kuanguka wala kujigonga maumivu yenyewe yanakuwa kama mtu aliyeumia au kuteguka katikati ya kifua huwa nikijinyoosha maumivu yanakuja kama kuna kidonda kifuana na yanachukua kama dakika tano kupoa.
Jamani wana Jfs naomba mwenye kujua nini kinanisumbua na nitumie dawa gani anisaidie natanguliza shukrani zangu...
Hope muu wazima.
Nina shida moja ni takriban 4 months tatizo langu ni kwamba kuna maumivu nayapata kifuani juu ya maziwa nimejaribu kwenda Aga khan wamenipima kipimo cha echo/ na kile wanaangalia kama una vidonga na walikundua vidonga vya tumbo vinanianza kwa hiyo wakanieleza ni acid iliniunguza kifuani walinipa ile Kit ya kutibu vidonga niliimaliza tatizo liliendelea nikaenda KCMC wakanieleza the same story walinipa dawa mbili Rabeprazole Sodium mg20 na Domperidone maleate12.72mg ambazo ni za kutumia 52days.
Bado nipo kwenye dose lakini juzi niliona maumivu yanazidi nikaenda tena TJM wakanipiga x-ray ya kifua wanasema hawaoni tatizo labda tatizo litakuwa kwenye mifupa.
Ninavyokumbuka sijawahi kuanguka wala kujigonga maumivu yenyewe yanakuwa kama mtu aliyeumia au kuteguka katikati ya kifua huwa nikijinyoosha maumivu yanakuja kama kuna kidonda kifuana na yanachukua kama dakika tano kupoa.
Jamani wana Jfs naomba mwenye kujua nini kinanisumbua na nitumie dawa gani anisaidie natanguliza shukrani zangu...