Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Salaam wanabodi.
Kwa wiki kama ya tatu sasa nimekuwa nahisi maumivu mara kwa mara kama vile kitu kimenichoma katika mguu wa kulia upande wa kulia wa mguu huo kwa chini.maumivu hayo yanapoanza yanagonga mpaka kichwani lakini hayadumu sana hata dakika moja haifiki.
Yamekuwa yanatokea mara nyingi kama natembea,nimekaa wakati mwingine nikiwa nimelala.Naomba kwa anayejua ni tatizo gani na nini tiba yake anijuze tafadhali.!
Kwa wiki kama ya tatu sasa nimekuwa nahisi maumivu mara kwa mara kama vile kitu kimenichoma katika mguu wa kulia upande wa kulia wa mguu huo kwa chini.maumivu hayo yanapoanza yanagonga mpaka kichwani lakini hayadumu sana hata dakika moja haifiki.
Yamekuwa yanatokea mara nyingi kama natembea,nimekaa wakati mwingine nikiwa nimelala.Naomba kwa anayejua ni tatizo gani na nini tiba yake anijuze tafadhali.!