mwili jamani kila popote ukiumia, panauma balaa.
Mi kuna siku nlijibana kidole kdg cha mkono na mlango wa gari, hee sitaki ata kukumbuka.
Sasa nliuona utamu mlango ulipofunguliwa ili kujikwamua, hamadi, nlitamani niurudishe palepale mlangoni.
Halafu eti nkaambiwa nieke barafu, salale mchuchu wa mwanzo wa babaangu nlimjua.
Mwili unauma jamani, hamna cha afadhali wala kuzidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.