wadau hebu nipeni jibu la hili swali....huwa nasikia wadada wengi katika stori zao wakisema pindi wanapomaliza kushiriki tendo la ndoa huwa wanaumia sehemu ya chini ya tumbo....hii husababishwa na nini??????ni ugonjwa ama hali tu ya kwaidaa?
Hali hiyo hutokana na kuto fikishwa kileleni. Mwanamke huwa anakuwa bado anahitaji kusuguliwa wakati jamaa kashamaliza mda mrefu. Kaka jitahidi kupiga kazi vizuri aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.