Maulid Kitenge wa E-Fm huo uufanyao sasa siyo Utangazaji bali ni uswahili!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,370
108,412
Nasikitika sana kuwa mpaka sasa hivi hakuna Chombo " maalum " cha kuwasimamia na kuchunguza maadili ya hawa Watangazaji wetu wa redio na luninga hapa nchini Tanzania kwani ama hakika kwa tunachokishuhudia sasa ni " ujinga " kama siyo " upumbavu " hasa katika utangazaji.

Sijui ni SIFA zimeshamlevya au ni UTOTO unamsumbua au ni USHAMBA umemzidi au ni MASHAUZI yaliyopitiliza kwani kusema ukweli ukimsikiliza Maulid Kitenge wa sasa aliyepo E fm unaweza usiamini kuwa ni yule yule Maulid Kitenge ambaye alikuwepo Radio One / ITV miaka ya nyuma.

Maulid Kitenge kwanza tambua kuwa audince wako ni very segmented hivyo basi unatakiwa nawe kuwa neutral hasa katika aina yako ya Utangazaji ili uweze kuwabeba wote lakini nisikufiche " Kijana " kwa jinsi unavyotangaza sasa ninaamini kuna kundi fulani la Watu ambalo kweli ni Wapenzi wa Michezo lakini unawaondoa.

Mapungufu yako makuu ni haya:

  1. Umezidisha mzaha uwapo hewani.
  2. Unaleta uhuni huni wa mtaani redioni.
  3. Unaanzisha mizozo ya kipuuzi isiyo na tija hasa kiueledi.
  4. Kuna muda sauti yako au kauli zako uzitoazo tena hewani ni kama za wale ambao RC Makonda anawatafuta kwa " udi na uvumba " kuwakamata hapa mjini.
  5. Huyo Mtangazaji wa Kike Tunu Hassana Shemkome ambaye namfahamu kimaadili tokea akiwa Radio Uhuru tokea atue hapo umemfanya nae akuige Wewe kwa hayo madhaifu yako na sasa huyu Binti nae amekuwa " mswahili " hadi kila Mtu ameshikwa na " butwaa ".
  6. Uko very biased hasa katika Habari zako ambazo zina upendeleo ulio wazi kitu ambacho professionally ni hatari sana.
  7. Una UNAFIKI wa KITAALUMA.
Naomba nikushauri tu kuwa unaweza kwa sasa labda ukaona umeshamaliza kila kitu ila kwa kukusaidia tu naomba kama hutojali hebu rudi tena Shule ukapikwe zaidi kwani nina uhakika wa kiushahidi kabisa huna ELIMU stahili ya Journalism and Broadscasting zaidi tu ya " ujanja ujanja " wa hapa na pale na kule kunolewa kwano na Mentors wako akina Abdallah Majura na Charles Hillary na kama umesoma sana basi una Basic Certificate tu ya hiyo FANI na UZOEFU ndiyo unakubeba ila kielimu najua hata huyo Bibie Tunu Hassan Shemkome amekuzidi kwani yeye sasa ana ADVANCE DIPLOMA YA JOURNALISM ya Dar es Salaam School of Journalism ( DSJ ).

Tambua kuwa nia yangu siyo KUKUCHAFUA au KUKUUMBUA bali ni jambo baya sana kama Mtu ambaye ni MWELEDI wa FANI husika na UMETUKUKA nayo halafu unaona UDHAIFU fulani unafanywa kila kukicha na Mtu ambaye unamuheshimu na unamkubali halafu unanyamaza na humkosoi ili kumjenga zaidi.

Napenda mno bidii yako KIUTANGAZAJI ila tumia huu UZI wangu kama sehemu yako ya KUJISAHIHISHA ila nikiri kwako na nisiwe MNAFIKI au mchoyo wa SHUKRANI au hizi SIFA kwako kuwa hadi hivi sasa hapa Tanzania bado sijaona MTANGAZAJI WA MICHEZO anayekushinda au hata tu kukufikia na labda nikuambie tu Wewe una KIPAJI kitu ambacho wenzako wengi hawana na hao wenzio wengi wana ELIMU tu hivyo kwa hicho kipaji ulichonacho ukienda kupata elimu bora ya utangazaji nakuhakikishia " utawaburuza " hawa Watangazaji wenzio hadi waombe " po " kwako.

Natumai utayapokea haya na hutaninunia au kuiona ID hii ni " chungu " kwako. Akhsante.
 
....nilisikiliza kipindi cha michezo E fm na kugundua Kitenge ndio km muongozaji wa wengine.

Anachosema yeye hawa wengine wanafata nyuma tu,hawajiulizi chochote!, hata jamaa akileta unazi wake kwa "jamaa wa jangwani" hawa wengine nao wanafuata tu!, matokeo yake kundi lote redioni linakua na mtazamo unaofanana!

very biased!
 
Nasikitika sana kuwa mpaka sasa hivi hakuna Chombo " maalum " cha kuwasimamia na kuchunguza maadili ya hawa Watangazaji wetu wa redio na luninga hapa nchini Tanzania kwani ama hakika kwa tunachokishuhudia sasa ni " ujinga " kama siyo " upumbavu " hasa katika utangazaji.

Sijui ni SIFA zimeshamlevya au ni UTOTO unamsumbua au ni USHAMBA umemzidi au ni MASHAUZI yaliyopitiliza kwani kusema ukweli ukimsikiliza Maulid Kitenge wa sasa aliyepo E fm unaweza usiamini kuwa ni yule yule Maulid Kitenge ambaye alikuwepo Radio One / ITV miaka ya nyuma.

Maulid Kitenge kwanza tambua kuwa audince wako ni very segmented hivyo basi unatakiwa nawe kuwa neutral hasa katika aina yako ya Utangazaji ili uweze kuwabeba wote lakini nisikufiche " Kijana " kwa jinsi unavyotangaza sasa ninaamini kuna kundi fulani la Watu ambalo kweli ni Wapenzi wa Michezo lakini unawaondoa.

Mapungufu yako makuu ni haya:

  1. Umezidisha mzaha uwapo hewani.
  2. Unaleta uhuni huni wa mtaani redioni.
  3. Unaanzisha mizozo ya kipuuzi isiyo na tija hasa kiueledi.
  4. Kuna muda sauti yako au kauli zako uzitoazo tena hewani ni kama za wale ambao RC Makonda anawatafuta kwa " udi na uvumba " kuwakamata hapa mjini.
  5. Huyo Mtangazaji wa Kike Tunu Hassana Shemkome ambaye namfahamu kimaadili tokea akiwa Radio Uhuru tokea atue hapo umemfanya nae akuige Wewe kwa hayo madhaifu yako na sasa huyu Binti nae amekuwa " mswahili " hadi kila Mtu ameshikwa na " butwaa ".
  6. Uko very biased hasa katika Habari zako ambazo zina upendeleo ulio wazi kitu ambacho professionally ni hatari sana.
  7. Una UNAFIKI wa KITAALUMA.
Naomba nikushauri tu kuwa unaweza kwa sasa labda ukaona umeshamaliza kila kitu ila kwa kukusaidia tu naomba kama hutojali hebu rudi tena Shule ukapikwe zaidi kwani nina uhakika wa kiushahidi kabisa huna ELIMU stahili ya Journalism and Broadscasting zaidi tu ya " ujanja ujanja " wa hapa na pale na kule kunolewa kwano na Mentors wako akina Abdallah Majura na Charles Hillary na kama umesoma sana basi una Basic Certificate tu ya hiyo FANI na UZOEFU ndiyo unakubeba ila kielimu najua hata huyo Bibie Tunu Hassan Shemkome amekuzidi kwani yeye sasa ana ADVANCE DIPLOMA YA JOURNALISM ya Dar es Salaam School of Journalism ( DSJ ).

Tambua kuwa nia yangu siyo KUKUCHAFUA au KUKUUMBUA bali ni jambo baya sana kama Mtu ambaye ni MWELEDI wa FANI husika na UMETUKUKA nayo halafu unaona UDHAIFU fulani unafanywa kila kukicha na Mtu ambaye unamuheshimu na unamkubali halafu unanyamaza na humkosoi ili kumjenga zaidi.

Napenda mno bidii yako KIUTANGAZAJI ila tumia huu UZI wangu kama sehemu yako ya KUJISAHIHISHA ila nikiri kwako na nisiwe MNAFIKI au mchoyo wa SHUKRANI au hizi SIFA kwako kuwa hadi hivi sasa hapa Tanzania bado sijaona MTANGAZAJI WA MICHEZO anayekushinda au hata tu kukufikia na labda nikuambie tu Wewe una KIPAJI kitu ambacho wenzako wengi hawana na hao wenzio wengi wana ELIMU tu hivyo kwa hicho kipaji ulichonacho ukienda kupata elimu bora ya utangazaji nakuhakikishia " utawaburuza " hawa Watangazaji wenzio hadi waombe " po " kwako.

Natumai utayapokea haya na hutaninunia au kuiona ID hii ni " chungu " kwako. Akhsante.
Bila shaka ww utakuwa mtangazaji pia katika Redio Fulani sasa imekuuma nini mpaka umuandame? Na hyo dp Yako ya Shari la ccm lazima utakuwa mtu wa Aina Fulani acha kutunga Uongo tufanye kazi wa Tanzania
 
Huyo Mtangazaji wa Kike Tunu Hassana Shemkome ambaye namfahamu kimaadili tokea akiwa Radio Uhuru.....

kielimu najua hata huyo Bibie Tunu Hassan Shemkome amekuzidi kwani yeye sasa ana ADVANCE DIPLOMA YA JOURNALISM ya Dar es Salaam School of Journalism ( DSJ)
Siku hizi nitajitahidi kuwa makini na thread zako manake nimegundua zingine unazileta ama kuwapa watu promo au kuchimbachimba kwa mambo yako binafsi! Si ni wewe ambae uliwahi kuleta thread kuulizia kuhusu Tunu Hassan?! Au ulitaka watu wafunguke kwa mapana na marefu; kwamba anamegwa na fulani ili halafu ukaanzishe mtiti endapo huyo fulani sio wewe?!
 
Karedio kenu mwisho Kimara Korogwe
Kama mnaoishi huko Dar es Salaam ni aibu kuleta hoja kama hii hapa jukwaani. Sasa ukisikiliza radio hizi unategemea nini zaidi ya uswahili!? Wachache wanajaribu radio 1 lakini mbona nasikia kuna BBC masaa 24, hii inakuunganisha na dunia na unapata kila kitu.
Inabidi usikilize radio ambazo zitakupanua akili ili hata likitokea tukio kama la mabasi kugongana Manyoni uweze kuwaza kana labda ni ajali au ugaidi kama ilivyotokea Nice Ufaransa!
 
mkuu hata kama umeandika unafiki kwa jinsi ulivyopangilia kazi yako unastahili pongezi, nimejaribu kuirudia kwa burudani kabisa ia naona yete yanaweza kufupishwa kuwa sentesi labda tatu


" labda nikuambie tu Wewe una KIPAJI kitu ambacho wenzako wengi hawana na hao wenzio wengi wana ELIMU tu hivyo kwa hicho kipaji ulichonacho ukienda kupata elimu bora ya utangazaji nakuhakikishia " utawaburuza " hawa Watangazaji wenzio hadi waombe " po " kwako."

au nusu sentensi kwa kusema +++ kitenge wewe ni qilaza+++
 
Nasikitika sana kuwa mpaka sasa hivi hakuna Chombo " maalum " cha kuwasimamia na kuchunguza maadili ya hawa Watangazaji wetu wa redio na luninga hapa nchini Tanzania kwani ama hakika kwa tunachokishuhudia sasa ni " ujinga " kama siyo " upumbavu " hasa katika utangazaji.

Sijui ni SIFA zimeshamlevya au ni UTOTO unamsumbua au ni USHAMBA umemzidi au ni MASHAUZI yaliyopitiliza kwani kusema ukweli ukimsikiliza Maulid Kitenge wa sasa aliyepo E fm unaweza usiamini kuwa ni yule yule Maulid Kitenge ambaye alikuwepo Radio One / ITV miaka ya nyuma.

Maulid Kitenge kwanza tambua kuwa audince wako ni very segmented hivyo basi unatakiwa nawe kuwa neutral hasa katika aina yako ya Utangazaji ili uweze kuwabeba wote lakini nisikufiche " Kijana " kwa jinsi unavyotangaza sasa ninaamini kuna kundi fulani la Watu ambalo kweli ni Wapenzi wa Michezo lakini unawaondoa.

Mapungufu yako makuu ni haya:

  1. Umezidisha mzaha uwapo hewani.
  2. Unaleta uhuni huni wa mtaani redioni.
  3. Unaanzisha mizozo ya kipuuzi isiyo na tija hasa kiueledi.
  4. Kuna muda sauti yako au kauli zako uzitoazo tena hewani ni kama za wale ambao RC Makonda anawatafuta kwa " udi na uvumba " kuwakamata hapa mjini.
  5. Huyo Mtangazaji wa Kike Tunu Hassana Shemkome ambaye namfahamu kimaadili tokea akiwa Radio Uhuru tokea atue hapo umemfanya nae akuige Wewe kwa hayo madhaifu yako na sasa huyu Binti nae amekuwa " mswahili " hadi kila Mtu ameshikwa na " butwaa ".
  6. Uko very biased hasa katika Habari zako ambazo zina upendeleo ulio wazi kitu ambacho professionally ni hatari sana.
  7. Una UNAFIKI wa KITAALUMA.
Naomba nikushauri tu kuwa unaweza kwa sasa labda ukaona umeshamaliza kila kitu ila kwa kukusaidia tu naomba kama hutojali hebu rudi tena Shule ukapikwe zaidi kwani nina uhakika wa kiushahidi kabisa huna ELIMU stahili ya Journalism and Broadscasting zaidi tu ya " ujanja ujanja " wa hapa na pale na kule kunolewa kwano na Mentors wako akina Abdallah Majura na Charles Hillary na kama umesoma sana basi una Basic Certificate tu ya hiyo FANI na UZOEFU ndiyo unakubeba ila kielimu najua hata huyo Bibie Tunu Hassan Shemkome amekuzidi kwani yeye sasa ana ADVANCE DIPLOMA YA JOURNALISM ya Dar es Salaam School of Journalism ( DSJ ).

Tambua kuwa nia yangu siyo KUKUCHAFUA au KUKUUMBUA bali ni jambo baya sana kama Mtu ambaye ni MWELEDI wa FANI husika na UMETUKUKA nayo halafu unaona UDHAIFU fulani unafanywa kila kukicha na Mtu ambaye unamuheshimu na unamkubali halafu unanyamaza na humkosoi ili kumjenga zaidi.

Napenda mno bidii yako KIUTANGAZAJI ila tumia huu UZI wangu kama sehemu yako ya KUJISAHIHISHA ila nikiri kwako na nisiwe MNAFIKI au mchoyo wa SHUKRANI au hizi SIFA kwako kuwa hadi hivi sasa hapa Tanzania bado sijaona MTANGAZAJI WA MICHEZO anayekushinda au hata tu kukufikia na labda nikuambie tu Wewe una KIPAJI kitu ambacho wenzako wengi hawana na hao wenzio wengi wana ELIMU tu hivyo kwa hicho kipaji ulichonacho ukienda kupata elimu bora ya utangazaji nakuhakikishia " utawaburuza " hawa Watangazaji wenzio hadi waombe " po " kwako.

Natumai utayapokea haya na hutaninunia au kuiona ID hii ni " chungu " kwako. Akhsante.

wewe huwa una chuki binafsi..
 
Back
Top Bottom