fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,410
- 7,965
Mkewe mmoja anaishi marekaniIla kuna ukweli jamaa anaruka Sana unyamwezini sasa kwa habari gani anazofuatilia....?mhhh nanusa harufu ya kitu illegal.
Mkewe mmoja anaishi marekaniIla kuna ukweli jamaa anaruka Sana unyamwezini sasa kwa habari gani anazofuatilia....?mhhh nanusa harufu ya kitu illegal.
Nimekua nikimfutilia Bwana Maulid Kitenge kwa kipindi sasa amekua na safari za kwenda Marekani,
Hv kuna anayefahamu huyu jamaa anafuataga nini huko mara kwa mara maana kwa namna anayonekana kwenye social medias ni kama hana jambo la msingi la kihabari linalompeleka kule.
Just being curious
Unadhani Marekani ni kama Pakistan unaingiza tu mzigo na kutoka...acheni ujinga.Ila kuna ukweli jamaa anaruka Sana unyamwezini sasa kwa habari gani anazofuatilia....?mhhh nanusa harufu ya kitu illegal.
A.k.a bwaxUmesikia Gwajima analo jina lingine. Anaitwa Rashidi au Chidi.
Chidi uno nimeipenda hiiChidi unoo
Umesikia Gwajima analo jina lingine. Anaitwa Rashidi au Chidi.
😅😅😅chidyNjoo huku tumjadili Bishop Rashid kwanza maana simwelewi kabisa kesho anaweza itwa Amina😂😂😂
Chidi mla kondooChidi uno nimeipenda hii
Chid anatafuta pa kutokea...
MtendeChidi unoo
😂😂😂😂😂
Umenifanya nicheke asbh huku,
Fortunately, Mimi ndio Muhindi mwenyewe sasa sooo tunaweza kuendelea kumjadili Kitenge. We have all the time in the World
Mkuu...Kwa upande mmoja mimi napenda kila mtu aishi kwa uhuru wake bila kufuatiliwa .
Kwa upande mwingine, mtu ukituma mipicha yako kwenye mitandao, mwenyewe unaalika maswali kuhusu maisha yako.
Habari zisizothibitishwa ni kwamba jamaa ni mkazi wa kudumu (permanent resident) wa Marekani.
Hivyo, kama hilo ni kweli, hapa swali la muhimu zaidi ni, anafanya nini Tanzania?
Yupo pale usafini kwenye kipindi cha michezoKwa upande mmoja mimi napenda kila mtu aishi kwa uhuru wake bila kufuatiliwa .
Kwa upande mwingine, mtu ukituma mipicha yako kwenye mitandao, mwenyewe unaalika maswali kuhusu maisha yako.
Habari zisizothibitishwa ni kwamba jamaa ni mkazi wa kudumu (permanent resident) wa Marekani.
Hivyo, kama hilo ni kweli, hapa swali la muhimu zaidi ni, anafanya nini Tanzania?