MrFroasty
JF-Expert Member
- Jun 23, 2009
- 1,195
- 590
Waktristo wamependelewa sana Tanzania, mie siku zote nashangaa Zanzibar waislamu ambao ni wengi wanakimbia kimbia kwenda kusali ijumaa. Wakristo walio wachache ati ndio system imewafavour siku ya j2 ndio ya mapumziko wapate kwenda kanisani.
Sasa haya tunayoyaona ni yale ya mtu akishakunywa uji sana na kulewa maandazi. Sasa mama Samia alitakiwa abadili mavazi, kisa nini ati uraisi ? Sasa mbona Nyerere alikuwa akivaa kofia za kiislamu wala watu hawakupiga kelele za kiinjili kama anashusha hadhi ya taasisi. Nadhani huyu jamaa inabidi achunguzwe uraia wake
Upuuzi mtupu!.
Sasa haya tunayoyaona ni yale ya mtu akishakunywa uji sana na kulewa maandazi. Sasa mama Samia alitakiwa abadili mavazi, kisa nini ati uraisi ? Sasa mbona Nyerere alikuwa akivaa kofia za kiislamu wala watu hawakupiga kelele za kiinjili kama anashusha hadhi ya taasisi. Nadhani huyu jamaa inabidi achunguzwe uraia wake
Upuuzi mtupu!.