Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,588
- 215,184
Huyu shost ni yule aliyenisuta sana tulipokuwa la Saba Mimi A yeye B, tumesha yasahau yale. Tunaishi wote huku kwetu Kwamtogole, mtaa mzima wanamheshimu kwakua mume wake anazo anazo hata michango ya kumtoa mwali wote tukichanga 5,000 mwenzetu anatoa 20,000.
Ana housegirl wake alimpata akiwa amemaluza darasa la saba tu, inaweza kuita child labour lakini wote walihitajiana, binti alihitaji pesa kusaidia familia yake na shost alitaka mlezi wa mwanae mdogo. Miaka zaidi ya kumi imepita shost alushagundua ukaribu wa mume wake an binti wa kazi alimpiga binti biti la kumheshinu baba , sasa juzi anagundua mume amemjengea nyumba baba wa binti kijijini. Nyinyi vwanaume mnaudhi si kidogo.
Ana housegirl wake alimpata akiwa amemaluza darasa la saba tu, inaweza kuita child labour lakini wote walihitajiana, binti alihitaji pesa kusaidia familia yake na shost alitaka mlezi wa mwanae mdogo. Miaka zaidi ya kumi imepita shost alushagundua ukaribu wa mume wake an binti wa kazi alimpiga binti biti la kumheshinu baba , sasa juzi anagundua mume amemjengea nyumba baba wa binti kijijini. Nyinyi vwanaume mnaudhi si kidogo.