POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Hilo nalo neno na kweli JK ni dhaifu na "tume" itakuwa dhaifu. kuna namna nyingi za kushinikiza tume huru ikiwepo ya nguvu ya umma, kwenye katiba mpya mbona waliweza? I will not agree on this TUME?Mkuu, huyohuyo aliyesema JK dhaifu, ndio huyohuyo anamtaka JK aingilie kati leo