Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Chadema imetoa taarifa kuwa haina imani na tume inayoundwa na Waziri Nchimbi kuhusu mauaji ya raia huko Morogoro kutokana na polisi kutoa maelezo yanayojikanganya na yale ya wananchi.
Hivyo chadema imemtaka Rais Kikwete kuingilia kati na kuunda tume itakayofanya uchunguzi wa matukio yote ya mauaji yanayofanywa na Polisi kwa raia wasio na hatia na kutoa tamko la kukomeshwa kwa vitendo hivyo vya polisi.
Taarifa ya Chadema imetoewa leo na John Mnyika katika mkutano wake na wanahabari.
Hivyo chadema imemtaka Rais Kikwete kuingilia kati na kuunda tume itakayofanya uchunguzi wa matukio yote ya mauaji yanayofanywa na Polisi kwa raia wasio na hatia na kutoa tamko la kukomeshwa kwa vitendo hivyo vya polisi.
Taarifa ya Chadema imetoewa leo na John Mnyika katika mkutano wake na wanahabari.