gbrother
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 408
- 51
Juzi waliofanya mauaji ya mtalii wamekamatwa, pia walioua kiboko nao wamekamatwa,
lakini cha kushangaza majuma mawili kabda ya matukio hayo juu, kuna ndugu yetu mlemavu wa ngozi aliuliwa kikatili sana lakini mpaka leo hakuna taarifa ya kukamatwa kwa wahusika,
INANITIA SHAKA SANA KIVIPI HAWA WATU WASIWE WAMEKAMATWA.
Pole Mh mbunge kwa kutoa mchango wako kwa majonzi mazito sana, nakuunga mkono kwa hili
lakini cha kushangaza majuma mawili kabda ya matukio hayo juu, kuna ndugu yetu mlemavu wa ngozi aliuliwa kikatili sana lakini mpaka leo hakuna taarifa ya kukamatwa kwa wahusika,
INANITIA SHAKA SANA KIVIPI HAWA WATU WASIWE WAMEKAMATWA.
Pole Mh mbunge kwa kutoa mchango wako kwa majonzi mazito sana, nakuunga mkono kwa hili