Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,165
- 5,535
jiulize kwanini afanye tukio apo na si sehemu zingine ,unaweza kuwa alikuwa anawafahamu hao askariKweli vifo vya askari wetu ni jambo linalomsikitisha kila raia mpenda amani, lakini kikubwa ninachokiona hapa na hasa hii awamu ya tano ni kiongozi mkuu kutopenda ushirikiano ulikuwa unasaidia kupatikana taarifa kati ya police na raia. Tumeona rais aliyotumia nguvu nyingi kuzuia police jamii wakati hilo liliwekwa kwa ajili ya kupunguza uhalifu kama huo