Mauaji ya Pemba 2001: Majina ya Watuhumiwa.

Mdau

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,789
470
Mnamo tarehe 27 Januari 2001, makumi ya wananchi wa Pemba waliuawa na vyombo vya usalama katika maandamano na mamia kadhaa kukimbilia uhamishoni nchini Kenya..kuna mambo mengi sana yamepatwa kusemwa, lakini jambo la msingi kabisa; ambalo ni kwa watuhumiwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria, halijapata kutimizwa..kubwa la kujifunza ni kwamba viongozi wetu wa kisiasa ni njaa kali sana, nathubutu kusema CUF kinaongozwa na viongozi waliokosa dira, wenye tamaa ya madaraka na waliochoka kimawazo..ingekua ni chama makini, naamini wangepiga sana kelele ili waliopanga na kutekeleza mauaji yale wafikishwe mbele ya vyombo vya sheria..thamani ya maisha ya binadamu haipimwi kwa unafiki wa MUAFAKA, ambao mwisho wa siku hautaleta tija wala kubadilisha hali ya maisha ya mzanzibari wa kawaida..wito wangu ni kwamba, Zanzibar si mali ya CUF au CCM pekee, ni mali ya Wazanzibari wenyewe, hivyo basi, kama ambavyo tumeshuhudia jinsi viongozi na maafisa mbalimbali duniani kote wanavyowajibishwa kwa uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi zao husika, ni wakati muafaka sasa kwa wenye mapenzi mema na machungu ya kweli kwa Zanzibar, kusimama na kupigania utendekaji wa haki kwa waliotimiza na walioathirika na mauaji ya Pemba mwaka 2001..iwe ni kwa kuanzisha uchunguzi wa ndani au wa nje, mwisho wa siku ni kwamba haki lazima itendeke!!!

Binafsi naamini wafuatao wanalazimika kutoa maelezo kuhusu kwa nini wasiwe ni washukiwa katika kupanga mauaji hayo:

1. Benjamin Mkapa
2. Omar Mapuri
3. Omar Mahita
4. Apson Cornel
5. listi iendelee tafadhali........
 
mmh,
Sasa inabidi wafikishwe ICC ya arusha ama the Hague,
Je! Nao waundiwe tume huru iwachunguze?
Maana kuna wengine hasa aliyekuwa IGP akiitwa 'laana-khum' na mwenyekiti wa CUF katika moja ya kampeni zake hapa DSM.
 
Waroho wa madaraka wanachekelea na suti kama vile waliokufa cio binadamu TUWAPIGANIE NDG ZETU
 
Hoja ni nzito, waliotajwa kama wauwaji ni walikuwa au wapo katika madaraka, na wenyewe wanasema "Jusice is the interest of teh people in power" kwa maana hiyo kilichofanyika Pemba ni Justice hivyo hakuna wa kushatakiwa kwa kuwa kwenye kutenda haki hashtakiwi!, Watanzania bado hawajaandaliwa kwa hilo.
 
Maalim na Lipumba....................Nukumbuka siku nne kabla ya mandanamo maalim alikimbilia Europe na Lipumba alijificha pale Buguruni wakawa wana organize maandamano ya pemba thru remote control wakati wao ndio walitakiwa kuwa kwenye first line ya maandamano, tena through mufaka wao feki CCMm iliwaambia 'kuwasahau mashujaa wao' kama moja ya kipengele cha cha muafaka na wao wakakubali hivyo kwa uoga wao unawafanya kuwa watuhumiwa #2
 
Mnamo tarehe 27 Januari 2001, makumi ya wananchi wa Pemba waliuawa na vyombo vya usalama katika maandamano na mamia kadhaa kukimbilia uhamishoni nchini Kenya..kuna mambo mengi sana yamepatwa kusemwa, lakini jambo la msingi kabisa; ambalo ni kwa watuhumiwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria, halijapata kutimizwa..kubwa la kujifunza ni kwamba viongozi wetu wa kisiasa ni njaa kali sana, nathubutu kusema CUF kinaongozwa na viongozi waliokosa dira, wenye tamaa ya madaraka na waliochoka kimawazo..ingekua ni chama makini, naamini wangepiga sana kelele ili waliopanga na kutekeleza mauaji yale wafikishwe mbele ya vyombo vya sheria..thamani ya maisha ya binadamu haipimwi kwa unafiki wa MUAFAKA, ambao mwisho wa siku hautaleta tija wala kubadilisha hali ya maisha ya mzanzibari wa kawaida..wito wangu ni kwamba, Zanzibar si mali ya CUF au CCM pekee, ni mali ya Wazanzibari wenyewe, hivyo basi, kama ambavyo tumeshuhudia jinsi viongozi na maafisa mbalimbali duniani kote wanavyowajibishwa kwa uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi zao husika, ni wakati muafaka sasa kwa wenye mapenzi mema na machungu ya kweli kwa Zanzibar, kusimama na kupigania utendekaji wa haki kwa waliotimiza na walioathirika na mauaji ya Pemba mwaka 2001..iwe ni kwa kuanzisha uchunguzi wa ndani au wa nje, mwisho wa siku ni kwamba haki lazima itendeke!!!

Binafsi naamini wafuatao wanalazimika kutoa maelezo kuhusu kwa nini wasiwe ni washukiwa katika kupanga mauaji hayo:

1. Benjamin Mkapa
2. Omar Mapuri
3. Omar Mahita
4. Apson Cornel
5. listi iendelee tafadhali........

Hawa nao lazima waongezwe:

Maalim Seif Sharrif Hamad
Prof. Lipumba maana wao waliwatuma wananchi waaandamane lakini wao wakasepa. No hata hawawakumbuki marehemu!!!
 
Maalim na Lipumba....................Nukumbuka siku nne kabla ya mandanamo maalim alikimbilia Europe na Lipumba alijificha pale Buguruni wakawa wana organize maandamano ya pemba thru remote control wakati wao ndio walitakiwa kuwa kwenye first line ya maandamano, tena through mufaka wao feki CCMm iliwaambia 'kuwasahau mashujaa wao' kama moja ya kipengele cha cha muafaka na wao wakakubali hivyo kwa uoga wao unawafanya kuwa watuhumiwa #2
Juma Duni Hajji nadhani yeye alikuwa ni chambo kwa hao wenye red hapo juu, kweli maalim alikuwa nje kwa kile kisemwacho 'kuwaeleza wahisani wazuie misaada kwa SMZ'
 
Maalim na Lipumba....................Nukumbuka siku nne kabla ya mandanamo maalim alikimbilia Europe na Lipumba alijificha pale Buguruni wakawa wana organize maandamano ya pemba thru remote control wakati wao ndio walitakiwa kuwa kwenye first line ya maandamano, tena through mufaka wao feki CCMm iliwaambia 'kuwasahau mashujaa wao' kama moja ya kipengele cha cha muafaka na wao wakakubali hivyo kwa uoga wao unawafanya kuwa watuhumiwa #2



Walai sheria lazima ichukue mkondo wake ikiwashilikisha maalim seif na Prof Lipumba ili uwe mfano wa wasiasa 'makanjanja', wanao wadanganja wanaharakati waandamane na wao wakula kona,

Tena binafsi nawashangaa sanaa vijana wa CUF kulifumbia macho jambo hili?
 
Miongoni mwa victim sio wanachama wa CUF pekee,, kuna na yule askari aliekatwa kichwa,, waliohusika pia wafikishwe kwenye sheria,,
 
Juma Duni Hajji nadhani yeye alikuwa ni chambo kwa hao wenye red hapo juu, kweli maalim alikuwa nje kwa kile kisemwacho 'kuwaeleza wahisani wazuie misaada kwa SMZ'

seif sharif@lipumba wavune walicho kipanda hapo hakutakuwa na muafaka bali miafaka yote iwe ushahidi dhidi yao INSHAALAH!
 
Mnamo tarehe 27 Januari 2001, makumi ya wananchi wa Pemba waliuawa na vyombo vya usalama katika maandamano na mamia kadhaa kukimbilia uhamishoni nchini Kenya..kuna mambo mengi sana yamepatwa kusemwa, lakini jambo la msingi kabisa; ambalo ni kwa watuhumiwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria, halijapata kutimizwa..kubwa la kujifunza ni kwamba viongozi wetu wa kisiasa ni njaa kali sana, nathubutu kusema CUF kinaongozwa na viongozi waliokosa dira, wenye tamaa ya madaraka na waliochoka kimawazo..ingekua ni chama makini, naamini wangepiga sana kelele ili waliopanga na kutekeleza mauaji yale wafikishwe mbele ya vyombo vya sheria..thamani ya maisha ya binadamu haipimwi kwa unafiki wa MUAFAKA, ambao mwisho wa siku hautaleta tija wala kubadilisha hali ya maisha ya mzanzibari wa kawaida..wito wangu ni kwamba, Zanzibar si mali ya CUF au CCM pekee, ni mali ya Wazanzibari wenyewe, hivyo basi, kama ambavyo tumeshuhudia jinsi viongozi na maafisa mbalimbali duniani kote wanavyowajibishwa kwa uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi zao husika, ni wakati muafaka sasa kwa wenye mapenzi mema na machungu ya kweli kwa Zanzibar, kusimama na kupigania utendekaji wa haki kwa waliotimiza na walioathirika na mauaji ya Pemba mwaka 2001..iwe ni kwa kuanzisha uchunguzi wa ndani au wa nje, mwisho wa siku ni kwamba haki lazima itendeke!!!

Binafsi naamini wafuatao wanalazimika kutoa maelezo kuhusu kwa nini wasiwe ni washukiwa katika kupanga mauaji hayo:

1. Benjamin Mkapa
2. Omar Mapuri
3. Omar Mahita
4. Apson Cornel
5. listi iendelee tafadhali........

kuna hoja ambazo huwa sichangii kabisaaaaaaaaaaa

hata kwa bunduki
 
Mnamo tarehe 27 Januari 2001, makumi ya wananchi wa Pemba waliuawa na vyombo vya usalama katika maandamano na mamia kadhaa kukimbilia uhamishoni nchini Kenya..kuna mambo mengi sana yamepatwa kusemwa, lakini jambo la msingi kabisa; ambalo ni kwa watuhumiwa kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria, halijapata kutimizwa..kubwa la kujifunza ni kwamba viongozi wetu wa kisiasa ni njaa kali sana, nathubutu kusema CUF kinaongozwa na viongozi waliokosa dira, wenye tamaa ya madaraka na waliochoka kimawazo..ingekua ni chama makini, naamini wangepiga sana kelele ili waliopanga na kutekeleza mauaji yale wafikishwe mbele ya vyombo vya sheria..thamani ya maisha ya binadamu haipimwi kwa unafiki wa MUAFAKA, ambao mwisho wa siku hautaleta tija wala kubadilisha hali ya maisha ya mzanzibari wa kawaida..wito wangu ni kwamba, Zanzibar si mali ya CUF au CCM pekee, ni mali ya Wazanzibari wenyewe, hivyo basi, kama ambavyo tumeshuhudia jinsi viongozi na maafisa mbalimbali duniani kote wanavyowajibishwa kwa uvunjifu wa haki za binadamu katika nchi zao husika, ni wakati muafaka sasa kwa wenye mapenzi mema na machungu ya kweli kwa Zanzibar, kusimama na kupigania utendekaji wa haki kwa waliotimiza na walioathirika na mauaji ya Pemba mwaka 2001..iwe ni kwa kuanzisha uchunguzi wa ndani au wa nje, mwisho wa siku ni kwamba haki lazima itendeke!!!

Binafsi naamini wafuatao wanalazimika kutoa maelezo kuhusu kwa nini wasiwe ni washukiwa katika kupanga mauaji hayo:

1. Benjamin Mkapa
2. Omar Mapuri
3. Omar Mahita
4. Apson Cornel
5. listi iendelee tafadhali........

Kigezo kimojawapo cha kufikia muafaka kingekuwa kushitakiwa kwa walioamuru mauaji ya 2001. Au hata kuwataja hadharani ili waaibike kwa jamii (name & shame). Viongozi wa CUf wakawa kimya...

List iendelee;
5. Amani Karume.
6. Maalim Seif Shariff Hamad.
7. Prof Lipumba.


Ocampo njoo! Mahakama za Bongo zitachakachua kama kawa...
 
Kigezo kimojawapo cha kufikia muafaka kingekuwa kushitakiwa kwa walioamuru mauaji ya 2001. Au hata kuwataja hadharani ili waaibike kwa jamii (name & shame). Viongozi wa CUf wakawa kimya...

List iendelee;
5. Amani Karume.
6. Maalim Seif Shariff Hamad.
7. Prof Lipumba.


Ocampo njoo! Mahakama za Bongo zitachakachua kama kawa...

Nimesema sichangii
 
Back
Top Bottom