Hivi Ben Disraeli alikuja waziri mkuu wa Uingereza 1967 kweli?
itakuwa miaka ya1800 na sio 1900. Huyu alikuwa anajulikana kama Benjamin Disrael earl of Beaconsfield. Aliwatesa sana warusi na hatimae aliuteka mfereji wa suez na kuilazimisha Egypt kuwa ubia. (ref an illustrated history of Modern Europe 1789 - 1984 by Denis Richards - 7th edition - Nondo za Malangali Seco)