Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Kauwawa na Wapinga Mapinduzi waliemtumia Kanali Humoud. Walimvamia akiwa Makao Makuu ya ASP Kisiwandui Zanzibar akiwa na Hayati Mzee Thabit Kombo Katibu Mkuu wa Afroshiraz Party.

Kanali Humud aliwapa Maelekezo wauaji wenzie kuwa wawapige risasi watu wote wataowakuta pale ila wahakikishe hawamgusi Karume , alitaka Yeye ndie amuue Karume na akafanikiwa kutekeleza unyama huo, Mzee Thabit alijeruhiwa kwa Risasi kadhaa lakin hakufariki.
 
Kauwawa na Wapinga Mapinduzi waliemtumia Kanali Humoud. Walimvamia akiwa Makao Makuu ya ASP Kisiwandui Zanzibar akiwa na Hayati Mzee Thabit Kombo Katibu Mkuu wa Afroshiraz Party.

Kanali Humud aliwapa Maelekezo wauaji wenzie kuwa wawapige risasi watu wote wataowakuta pale ila wahakikishe hawamgusi Karume , alitaka Yeye ndie amuue Karume na akafanikiwa kutekeleza unyama huo, Mzee Thabit alijeruhiwa kwa Risasi kadhaa lakin hakufariki.

Ni kweli ni wapinga mapinduzi? Au kuna mengine nyuma ya pazia?
 
Kauwawa na Wapinga Mapinduzi waliemtumia Kanali Humoud. Walimvamia akiwa Makao Makuu ya ASP Kisiwandui Zanzibar akiwa na Hayati Mzee Thabit Kombo Katibu Mkuu wa Afroshiraz Party.

Kanali Humud aliwapa Maelekezo wauaji wenzie kuwa wawapige risasi watu wote wataowakuta pale ila wahakikishe hawamgusi Karume , alitaka Yeye ndie amuue Karume na akafanikiwa kutekeleza unyama huo, Mzee Thabit alijeruhiwa kwa Risasi kadhaa lakin hakufariki.

Thabit Kombo ni hayati? na huyo wa unguja ni mjukuu wake?
 
Thabit Kombo ni hayati? na huyo wa unguja ni mjukuu wake?

Huyu ni Mtoto wake, Mwenyewe Thabit Kombo ameshafariki na huyu Mzee ndie aliempendekeza Ndg Ally Hassan Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar baada ya kutimuliwa Aboud Jumbe wakati wa Mchafuko wa Hali ya kisiasa Zanzibar kipindi ambacho Mwl Nyerere alimfukuza Jumbe bila ya kupanga Mrithi wake ndo Mzee Thabit akiwa tayari mlemavu wa Macho akaokoa Jahazi.
 
Sio kisasi cha mapinduzi? Maana ikumbukwe pia kulikuwa na wapenzi wa utawala wa kisultani, ambao ndio walio lipiza kisasi kwa kumuua mzee Karume.
 
SIRI YA MTUNGI ............
PILIPILI USIOILA YAKUWASHIYANI?
Badala kutueleze Sokoine kafaje au Kolimba kafaje, mwaleta hadithi za Alfu ulela!

Mwajuwa kuwa huyo Salim ni mmoja wa watuhumiwa? na aliyemlinda ni nani? Sasa aliyemlinda naye ahusika? Fumbo mfumbie .......

Kama huwez jibu hoja kwa hoja tuliza kalio lako chini,mipasho peleka MMu hapa sio mahala pakeee....ngedere wewee


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.

Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!

Naona unahasira za kupigwa chini Chalinze ww,ajira yako iko mikonon mwa raia,polee


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
SIRI YA MTUNGI ............
PILIPILI USIOILA YAKUWASHIYANI?
Badala kutueleze Sokoine kafaje au Kolimba kafaje, mwaleta hadithi za Alfu ulela!

Mwajuwa kuwa huyo Salim ni mmoja wa watuhumiwa? na aliyemlinda ni nani? Sasa aliyemlinda naye ahusika? Fumbo mfumbie .......
Mtwike
===>Magamba wana mambo makubwa sana wanayaficha,siku wakiondoka madarakani tu kila kitu kitakuwa wazi,kwani nani alijua sign ya Kambarage na Msekwa zimeghushiwa,haya ni madogo kuna makubwa zaidi ya haya yatakuja.
 
Last edited by a moderator:
Tujuze sababu za Mwalimu kufanya hayo manake umemvisha kitanzi bila kumungunya maneno kuwa ndio muhusika.Tusaidie.
DSN
===>Mwambie akae mkao wa kutolewa kucha maana hata hawa wenye Jukwaa nao hawaaaminiki,hawakawii kuuza ip ,nasikia wameingia kwenye Malipo ya waheshimiwa,chezea njaa wewe!
 
Last edited by a moderator:
All roads leads to Rome.

Nyerere, Nyerere, Nyerere.

Nini zaidi kinachotakiwa? iweje Nyerere awawachie huru baada ya muda watu waliokula njama za uhaini na mpaka Karume kuuawa? Haiingii akilini.
FaizaFoxy
===>Black widow kama kawaida yako,umeshaingiza mambo yako yaleee,kazi kweli kweli Magamba kazi wanayo,
cc CHAMVIGA
 
Last edited by a moderator:
Sababu kuu ya Mt JK Nyerere kukatisha uhai wa baharia yule ni MUUNGANO!

Baadhi ya mambo waliyokuwa wamekubaliana ktk muungano huu Mt Nyerere alikuwa hayatekelezi ndipo baharia alipo anzisha harakati za kujiondoa ktk muungano! Mt Nyerere kuona hivyo akaukatisha uhai wa Baharia Karume!

Wapo wengi waliouawa kwaajili ya kupinga muungano huu!

Na wapo ambao kila maadhimisho ya muungano huu wao kauli mbiu yao ni "Hatuta sahau siku ambayo Mzanaki alituingiza mjini"

pitful! ama kweli huu ni muungano wa DAMU! wazanzibar sasa wamechoshwa na huu ukandamizaji, wanataka uhuru kamili wa nchi yao. huenda wakijitenga wanaweza kuidai fidia serikali ya tanganyika kwa kukatisha uhai wa rais. wazanzibar wengi wanalijua hili lakini hawajui waanzie wapi kuhoji mauaji haya.
 
Wapi na wapi?kuna mdau katujuza kuwa muuaji wa Mzee karume alikuwa ni mlipizaji wa kisasi wa kifo cha Baba yake [Hoja hii kama ni kweli Mzee Karume alishurutisha mtoto Mtu kumua Baba yake pasipo hiari yake hata kama ilikuwa ni SIRI KUU hapo ilikuwa ni dhambi ambayo mmalipo yake lazima yangerudi] . Yani wenzetu wanasema what goes around comes around.Hoja ya kulipa kisasi asilmia kubwa ina mashiko kwangu kwa kuwa na utamaduni wa watu wa kimazingira siasa za Zanzibar zimezungukwa na visasi kwa hilo naafiki kuna uwezekano.

Haya mdau Jason wewe unakuja na hoja ya Mwalimu kumua Mzee Karume ambae kwa jukumu alilokuwa nalo tena kwa hiari yake mwenyewe alimfuata Mwalimu ili auende Muungano na si Mwalimu aliyemfuata kuunda Muungano.Hiyo imeakaaje aliayetaka Muungano ndie awe mvunja muungano huo huo?Naomba ufafanuzi ukiziangati hiyo taarifa ya mdau kuhusu ujumbe hapo juu.

nawe sijui unafikiri kwa kutumia nn! nyerere alikiuka masharti ya muungano, karume kataka kujitoa, akauawa!
 
mimi kwa kweli kuna mzee kanipa mchapo wote. Yeye anasema, sikumbuki ya nyuma,ila aliniambia karume kuna kikundi cha watu aliwaua wakiwa wazima cz walitaka kuipindua serikali yake, sasa mmojawapo ndio ndgu wa huyo mjeda, ndo huyo mjeda akapanga kulipiza kisasi na alipga risasi akiwa anacheza bao.. Later ndo ilikuwa zamu ya nyerere,mzee akakimblia butiama. Nimesahau mengine. Alinipa visa vingi tu kama cha kawawa kupigwa kibao mble ya nyerere na yule jamaa aliyekmbilia Uk enzi ya nyrere..

enhe! hebu funguka zaidi mkuu.
 
Black widow FaizaFoxy
===>Soma na wewe hapa uache porojo zako.
Achana na mimi, jibu maswali yangu kama una majibu, kama huna majibu nisome tu usepe, uwawache wenye uwezo wa kujenga hoja wanijibu.
===>Punguza kuropoka ongeza maarifa hapa,bila kuchapwa viboko.
===>Kwa wale ambao sio wavivu wa kusoma someni makala hizi ili mpunguze maswali yasiyokuwa na kichwa wala miguu
1. Raia Mwema - ABEID KARUME: Aliuawa kulipiza kisasi au kumpindua? III
2. Raia Mwema - ABEID KARUME: Aliuawa kulipiza kisasi au kumpindua? IV
===>Kila kitu kimeandikwa kwenye hizo makala,hao wanaoulizwa sijui kanali mhfudhi woote wameelezewa hapo.
 
Black widow FaizaFoxy
===>Nimekuwekea link uongeze maarifa kwa nafasi,tena hakuna viboko kama vile vya kwenye maeneo yenu mnayoongezea maarifa ya kujilipua.
 
Last edited by a moderator:
NAMI NATAKA KUJUA KWA NINI MZEE KARUME ALIULIWA KWA KUPIGWA RISASI NA MWANAJESHI?????????????


The stong man in the world is the one with the best information……..

Hii ni kauli ya waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Benjamin Disarel ambaye aliwahi kutawala kipindi nchi hiyo wakati wa vuguvugu la vyama vya wafanyakazi mwaka 1967, tofauti na watangulizi wake Disarel yeye aliwataka makundi yote ya waingereza wanyonge waliokuwa wanapambana kwa ajili ya maslahi yao kuwa na taarifa sahihi kwa wakati mwafaka hakika haya ni maneno mazito sana.

Naam! Leo tunapoadhimisha Karume Day kuna haja ya kuwa na taarifa sahihi kuhusu kifo cha Mzee Karume ambaye anatajwa kuwa mwasisi wa mapinduzi ya Zanzibar ya januari 12 , 1964. Nalisema hili kwa jinsi mambo yanavyofichwa nabashiri kuna uwezekano mkubwa huko mbele tuendako wazungu wakaja kutusaidia kufanya utafiti wa kifo cha shujaa huyo, ili kuelewa nayoyasema rudia makala za mwandishi nguli wa Raia Mwema Bw Joseph Mihangwa au nenda visiwani Zanzibar halafu uliza wakazi wa visiwa hivyo vya karafuu wakwambia sababu za mzee huyo kupigwa risasi mnamo mwaka tarehe7 mwezi wa 4 mwaka 1972? Kisha kwa wingi na mkanganyiko wa majibu ndio utakubaliana nami umefika wakati tuhoji yasiyohojika.

Kwanza swali rahisi hivi ni kweli serikali zetu hizi za Zanzibar na ya Muungano hazifahamu sababu za kifo cha mzee huyo? Hivi ni kweli kabisa mpaka leo tumeshindwa kuweka wazi swala hili? Kwanini? Imefika sehemu tumeruhusu mapambano na malumbano ya wanahistoria kutafiti chanzo cha mauaji hayo ilihali tumeukalia ukweli? Tunaogopa nini? kwa maana tunapojadili mauaji hayo kuna maswali na mtiririko wa kimantiki unaotushawishi kuwa mzizi haswa wa mauaji hayo ni siasa za chuki na kama tunakubaliana katika hili ni lazima twende mbele tujihoji je tumezimaliza hizo siasa za chuki? Au bado zipo?

Hoja ya kwanza katika mtiririko huu ni kuwa kwanza Karume hakuuawa kwa bahati mbaya la hasha! Ilikuwa ni mipango ya watu Fulani na ndio maana ttunasikia matokeo yake ni kuwa baada ya kifo hiko watoto wa mzee huyo walianza kunyimwa fursa zza kimaendeleo kama vile walinyimwa ajira na baadhi yao walifukuzwa kazi haya kayasema mke wa marehemu Karume mama Fatuma Karume akiongea kupitia TBC1 mapema leo, hii ina maana kuwa baada ya kifo hiko chuki haikuisha ikahamia kwa watoto na mke wake ambaye anaweka bayana kuwa ni Nyerere tu aliyewahi kumfariji mama huyo wengine wote walimtoa kwenye kumbukumbu zao hakika hii ni chuki kubwa!

Kutokana na hali hii tunapaswa tujihoji kina nani walihusika na mauaji haya? Na nini kiliwasukuma? Na kwanini chuki hiyo ilifika kwa watoto wake? Je ikiwa bado watoto wa karume wako hai tutaaminije kuwa chuki hiyo imekwisha? Nini mzee karume alifanya mpaka ikatokea hiyo chuki? Lakini tusiishie hapa kwenye mauaji haya kuna jingine , inadaiwa kuwa mzee Karume aliuwawa na mwanajeshi, je kama mwanajeshi ndiye alimwua je hayo siyo mapinduzi ya kijeshi? Kwanini? Lakini pia ingawaje Karume aliuwawa na mwanajeshi cha ajabu ni kuwa uongozi wan chi haukutwaliwa na jeshi bali alipewa mwanasiasa tu Aboud Jumbe!, haya ni maajabu mengine sasa, hivi huyo Hamid aliyemwua mzee karume alitumwa na wanasiasa? Au? Na kama hajatumwa kwanini baada ya mauaji hayo yaliyofanywa na mwanajeshi tunaambiwa kuwa jeshi lilitaka limpe madaraka kanali Seif Bakari hata hivyo baadaye tunaambiwa liliachana na mpango huo, je nini kiliwasukuma kuacha mpango huo? Na nani aliwakataza kufanya hivyo? Hatuoni kuwa iwapo jeshi lingempa uongozi kanali Seif Bakari ambaye pia ni mwanajeshi hatuoni kuwa hayo yangekuwa ni mapinduzi ya kijeshi au uasi wa jeshi? Kwanini jeshi limfanye hivo mzee karume? Aliwakosea nini wapiganaji wake hawa?

Kwa maswali mengi kama haya yasiyo na majibu ndiyo inaibuka haja ya kufahamu je nini sababu za mauaji hayo? Nani alikuwa nyuma ya mauaji hayo? Ni wanajeshi au wanasiasa kwa mgongo wa jeshi? Kina nani hao? Na kwanini? Je chuki zilizopelekea mauaji hayo zilikoma au zingalipo hadi leo? Tukiyajua haya itatuweka huru kwa maana ukweli pekee ndio utatuweka huru vinginevyo tunaficha historia yetu kwa hasara yetu wenyewe! Naam ! wakati ni huu watanzania acha sasa tuhoji yasiyohojika!
 
Inasemekana mzee Karume alipouwawa alikua na $ 20 milioni nchi za nje ? hizo ni fedha nyingi sana 1972 ukichukulia wakati huo wazanzibari walikua wanasota sana kimaisha

mawazo ya Mtanzania wa kawaida, kwani muungano ulkuwa kati ya Nyerere na Karume au Tanganyka na Z'bar, by the way sio kosa lako tatzo unasoma sana gazeti la an-nuur ndio huwa wanahzo views.

Subiri niombe ruhusa ya advocate wangu ili nimwage data zote za Nyerere kusimamia mauaji hayo na mengine ambayo hayajapata kutajwa!

Kwani wewe si ndio nasikia pia ndiye Jason Bourne? Mwaga kupitia huko.
 
Back
Top Bottom