unataka kusema aliewai kuwa mkuu magogoni ndo anahusika na mchezo wote
Subiri niombe ruhusa ya advocate wangu ili nimwage data zote za Nyerere kusimamia mauaji hayo na mengine ambayo hayajapata kutajwa!
Duh!!! Ya kweli haya. Inaalilahi Waina ilaihi rajiuun.Nyerere ndie muuwaji tena kwa maagizo ya walewale waliomtuma aungane na zanzibar. Pale mzee karume alipoona muungano umejaa ubabaishi na alipotoa kauli ya kuwa muungano ni kama koti likituzidi tunalivua ndipo Nyerere alipoamua kumuua. Alipotekeleza mauaji yake ndio akampa Aboud Jumbe kiti cha Urais lakini hata jumbe mwenyewe alipoanza kuhoji baadhi ya mambo ya muungano nae akapigwa chini na kuanza kupotezewa kama vile hakuwa rais wa nchi bali mwenyekiti wa kijiji. Amshukuru Dr. Jakaya kikwete kwakumkumbuka alipopata madaraka na kumjengea nyumba mbili moja zanzibar na kigamboni. Nyerere hautokuja punzika kwa amani kwa damu uliyoimwaga kwa watu wasio na hatia. Mungu akulaani na akuchome maradufu.
Hakuna ushahidi hivyo ni propaganda kwani waliomuua walikamatwa lakini hawakumtaja Nyerere hivyo hakuna hoja katika huu uzi wako.
abdulrahaman babu mmoja wa watu walioshukiwa kumuua Karume, aliachiwa huru na Nyerere baada ya kukaa gerezani kwa muda mfupi, nayo ni moja ya sababu ambazo watu waliibua minong'ono kuhusu Nyerere na kifo cha Karume...
Hakuna ushahidi hivyo ni propaganda kwani waliomuua walikamatwa lakini hawakumtaja Nyerere hivyo hakuna hoja katika huu uzi wako.
Boss umburula wangu uko wapi hapa??Ila asante kama ukubaliani na mawazo ya mtu usimtukane maana yawezekana wewe u-mtoto wa haramu ukuja kwa njia ya kawaida!kama umezaliwa kinondoni mkunguni basi hapa ntakushikisha adabu hapa wengine ni baba zako japo mamako hakukwambia hilo kwakuwa alikuwa hajui niyupi alompa mimba kwakuwa mamako alikuwa kama paka mapepe!Uishie huko fuata misingi ya JF usije hapa nakuongea upuuzi kama umekalia kitu kigumu!Tumia alkili wee mburura unadhani ni nani angeweza kumtaja nyerere yule mzee alikuwa mshenz alidhani yeye ataishi milele..