Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Mkuu mbona nimeshakujibu katika post # 216
hawa waHadimu na waTumbatu wametokea Maziwa Makuu (Ziwa Victoria /Nyanza) na wanatokana na jamii ya waBantu kutoka Bara na waliishi katika vijiji vidogo wakashindwa kuungana na kujitawala ndio maana wakavamiwa na wageni

kutafsiri kila sentesi si mtaalam ndio maana nikakupa link ambapo inaweza kukutafsiria mbona yote yamo? History of Zanzibar - Wikipedia
View attachment 999165
na nilisema Mwarabu alikuja kama mtu mwema na mfanyabiashara mwaminifu jua huyu jamaa ni kigeugeu haswa fuatilia Saddam Hussein, Osama, Bashir Kashoggy wanageukwa na nani ni Mzungu?
mwenyewe ndiye uliyetaka nitumie Wikipedia zipo search nying tu lakini nilijua utazikataa km hii sasa unaikataa unasema Mzungu kaiandika)
Historia yako ni ile ya kuhadithia kuwa kisiwa hicho kilikuwa kitupu walipokuja waShiraz na wakaanza kutafuta pembe za Ndovu huku bara mpaka Congo wakakutana na Manyani na kuyakata mikia (sisi waafrika ni manayani tuna mikia) na kuwasafirisha, ndio maana nangoja tafsiri ya PUNDA HAPANDI MUSCAT (UANIJUA NA hutajibu asilani)

Na nimekufahamu mkuu vizuri tu, kinachokusumbua wewe ni ubaguzi na chuki zidi ya waarabu. Sina dawa yakukupa kwa hilo zaidi ya kukuombea maombi Mungu akusaidie mana chuki sikitu kizuri kabisa kwenye moyo wa Mwanaadamu.

Chuki dhidi ya Muarabu / muhindi / au mzungu haziwezi kusaidia kitu. Hawa watu tayari wameendelea kiakili zamani sana tafauti na sisi, na ndio mana wengi wetu tunasumbuliwa na choyo juu yao. Tunawaita wabaguzi wakati sisi wenyewe tunawabagua. Just imagine hizi dini za ulimwengu chimbu lake lingekuaga Afrika ingelikuwaje? Hiyo technology tungekua sisi ndio wenyewe ingelikuaje?
Sisi ni watu wa ovyo sana. Kule Zanzibar Waliuwa waarabu, Wakawanyag'anya mashamba na mali waarabu pamoja na wahindi. Kila kitu wakuchua wao wenye kujiita waafrika. Lakini maka 30 tu mbele bado ukenda Zanzibar tajiri ni muarabu na muhindi. Na sasa hivi nasikia mashamba mingi sana yanamilikiwa na waarabu. Waliwanyang'anya saivi washawauzia tena. Tusubiri tena mbena tutakujasikia waarabu wameteka mashamba kama mnavotukaririsha.

Mkuu waimbaji walishaimba MPEWA HAPOKENYEKI wenzetu vichwa vyao vinafanyakazi sisi tumebakisha wivu.

Bora tuzungumze mengine kesi za waarabu tueke pembeni
 
Mkuu waimbaji walishaimba MPEWA HAPOKENYEKI wenzetu vichwa vyao vinafanyakazi sisi tumebakisha wivu.
Bora tuzungumze mengine kesi za waarabu tueke pembeni
Ni bora kwani umeshindwa niwekea hata Link sana sana huyo Saleh Farsi nimetafuta na kuona ni mwandishi tu km mimi hajagusia hata ujio wa mtu katika kisiwa hicho
ninapinga kuwa Kisiwa cha unguja na Pemba hakikuwa na binadamu hadi alipofika Mshirazi toka Persia
km hakuna Link bora yubakie kwenye Mada ya awali ambapo Karume aliuawana Mahamoud na sio Babu
 
hayo ndio matango yenu pori mliolishwa.
Na watumabatu asili yao ni mixture between Washirazi na wa Sudan/Somali/Ethopia ambao ndio watu weusi wa mwanzo kufika zanzibar. nasio kama hivo unavosema weye kabisa. katufute
vitabu vya Saleh Farsi vya mtiririko wa historia ya Zanzibar mkuu uengeze ujuzi.
navipata wapi naomba Link hata Zanzibar nitavitafuta mwezi huu
nashukuru kwa kunifahamisha zaidi ni evidence km link
 
Ni bora kwani umeshindwa niwekea hata Link sana sana huyo Saleh Farsi nimetafuta na kuona ni mwandishi tu km mimi hajagusia hata ujio wa mtu katika kisiwa hicho
ninapinga kuwa Kisiwa cha unguja na Pemba hakikuwa na binadamu hadi alipofika Mshirazi toka Persia
km hakuna Link bora yubakie kwenye Mada ya awali ambapo Karume aliuawana Mahamoud na sio Babu

Mshirazi hakuwa mtu wa mwanzo kufika zanzibar. Tyari kulikua na Wayemen na bantu wanaishi wakati wao wanafika. ndio mana nilikwambia ukapitia historia ya KIlwa empire.
Washirazi wamefika Afrika Mashariki wakiwakuta Wayemen tayari wameshaweka makaazi yao. Na hao wahaymen wapo kwa zaidi ya miaka mia 5 nyuma. Wakiingiliana pamoja na watu Sudan / Ethopia ambao ndio wanaokadiriwa walikuokua wakiishi kwenye mwambao wa afrika mashariki.
 
Ni bora kwani umeshindwa niwekea hata Link sana sana huyo Saleh Farsi nimetafuta na kuona ni mwandishi tu km mimi hajagusia hata ujio wa mtu katika kisiwa hicho
ninapinga kuwa Kisiwa cha unguja na Pemba hakikuwa na binadamu hadi alipofika Mshirazi toka Persia
km hakuna Link bora yubakie kwenye Mada ya awali ambapo Karume aliuawana Mahamoud na sio Babu

Turudi hapo unapopataka. Homoud ndio aliemua Karume lakini alikua yupo kwenye kutekeleza azimio la nani?
Babu alitaka kufanya revolution. Na wote akina Homoud, Shindano, Chwaya, Ahmada, na Ali mahfudh walioshiriki kwenye tukio la mauwaji walikua ni watu wa Babu. nahili ndilo linalothibitisha kama lile halikua tukio lakisasi bali ni revolution plan. Kama kisasi tu humoud angeliweza kumfata Karume hata kwake tu kwa mda wake wakamalizana. Nikweli Karume alimuulia baba yake Homoud ambaye alikua ni shemegi yake. Karume alikua ni mume wa dada yake.
Babu alitengeneza Revolution plan ambayo ilikuja kufail kwa dakika za mwisho kabisa. Plan yao kina Humoud hawakutakiwa kumuuwa Karume pale, Walitakiwa Wamueke chini ya ulinzi na baada ya kumaliza mapinduzi ndio wamuue. Walikuwepo wengi ambao kila mmoja alikwisha kua kwenye nafasi yake pamoja na watu wake wakiwemo kina Ali Sultan ambaye yeye alitakiwa kuuteka Uwanja wa ndege na Qulattein yeye alitakiwa kuteka Radio Pale rahaleo. Ali Mahfudh ndie aliekua resposible wakudeal na Karume. Nahao kina Humoud na Ahmada ndio waliokua vijana wake wakukamilisha shuhuli yake.
Ila baada ya plan kuharibika Babu aliwwarifu watu wake wote kuhusu kusitisha maazimio yao kwa mda ule. Lakini Canal Mahfudh licha kupewa taarifa ndie alietoa go ahead ya kwenda kumalizwa Karume. Na hapa ndipo role ya Mwalimu inapoingia. Hapa ndipo anapohusika kwenye kifo kile. Mahfudh alikua anatumiwa na nyerere na kama wenzake wengi tu wakiwemo kina Salim Ahmed Salim ambao ni watii wa Mwalim walikua ni usalama wa Mwalimu ndani ya Umma Party (Comrades).
Mr X kwenye kesi ya mauaji ya Karume hakuwa mwengine Zaidi ya Mwalimu. Mwalimu alikua anafahamu kila kitu kuhusu program ya babu nayeye akisubiria ili apate kufanya program yake. Babu, Mahfudh, Qulattein wote walihukumiwa vifingo vya maisha. Lakini Nyerere aliwatoa miaka mitano mbele. Na akmtumia Mahfudh msumbiji.
 
Ndugu yangu usilishwe Matango pori, na huwezi nifundisha historia ya mwarabu wa Oman mpaka wanagawana utawala mmoja atawale Oman na mwingine Zanzibar
Wikipedia ndio inakufundisha historia? hivi unajua kama wikipedia inakuwa na wachangiaji tu kiasi hata wewe unaweza ukaandika lako? Halafu unashindwaji kusoma the shortest war in History chanzo chake kilikuwa nini au Wikipedia hukuikuta?

Hebu subiri nikuekee ulichosema mwenyewe hapa;
upo sahihi lakini wenyeji walipotaka kumuondoa muarabu wa Oman wakashindwa, kwa nini walimuita Muingereza akaja kupiga vita ya dk 20 na kumuweka mtu wake toka Oman

Halafu saiv unakuja kusema ivi;

Labda kwa faida ya wengine ni kuwa Sultani sayyed wa Oman alikuwa na watoto wawili Majid na Thuwaini
Thuwain akatawala Oman na Majid akatawala Zanzibar
Vita vya kwanza vya muda mfupi vilitokeaje? baada ya Sultan Thuwain kufariki mtoto wa Barghash (Khalid) ambaye ndiye angerithi Waingereza hawakumpenda wakamtaka ajiuzulu, alikataa hivyo wakapiga Kombora na Jengo moja na kumumbia asalimu la sivyo watamshukia akatii na wakamuweka Hamoud

Na Mimi nilisema ivi;


Wenyeji wametaka kumuondoa muarabu wa oman, halafu wakamwita muingereza akaja akapiga vita halafu wakamueka tena mu Oman? hujaona contradiction kweli katika ulichoandika? Wametaka kumuondoa mu oman ili awekwe mu oman?

Anyways, hii incident iko well known and it is very clear. Hii haikuwa vita baina ya Wazanzibar na waoman, hii ilikuwa vita baina ya ndugu wenyewe katika ufalme wakitaka kupinduana.

Sasa mbona kama waijua historia unatudanganya kuwa wenyeji walitaka kumuondoa mu oman? wakati ugomvi huu haukuhusisha wenyeji?

Kucopy Wikipedia sio kujua historia.
 
Mkuu hapo kidogo, mbona statement yako imekaa vibaya ? Kwanini umtaje Maalim Seif tu? kwani alikua peke yake? Mbona humtaji na Salmin Amour? kwanini humtaji Salim Ahmed Sailm? Ilikua ni team iliofanya hivyo simtu mmoja. Ni kundi la wanasiasa wasomi vijana. Kwanini siku zote mnakua mnamzungumza Maalim Seif tu kwenye hili?
Kwenye matukio huwa kunakuwa na watu wengi. Si lazima kuwataja wote. Nijuavyo mie aliemfata personally Nyerere ni Maalim Seif na ndio maana sikutaja wengine walioko behind the scenes. Mara nyingi kwenye matukio ya siasa kunakuwa na wale watu wa mbele na kuna wengine wapo nyuma wakisukuma wenzao.
 
Mkuu kabla ya huyo muarabu mnaemsema Hakukua na jamii ya kibantu tu kama mnavozungmza au mnavoamani.

Mumewahi isikia Sultanate of Kilwa au Kilwa Empire? mumewah kumsikia mtu alieitwa Ali ibn al-Hassan Shirazi, ambaye ndie alikua founder wa Kilwa Empire?

Wakuu historia ya kweli sio hii tunayosomeshwa tuliotengenezewa na Tanu.
Mkuu linapozungumzwa suala la Zanzibar na waarabu, anaezungumziwa ni Watawala wa Ki Oman.

Watawala wa kioman waliwakuta wabantu (Ama tuseme wafrika). Lakini ukisoma tena kurudi nyuma, hata hao wabantu ni wakuja!
 
Wikipedia ndio inakufundisha historia? hivi unajua kama wikipedia inakuwa na wachangiaji tu kiasi hata wewe unaweza ukaandika lako? Halafu unashindwaji kusoma the shortest war in History chanzo chake kilikuwa nini au Wikipedia hukuikuta?
Hebu subiri nikuekee ulichosema mwenyewe hapa;
Halafu saiv unakuja kusema ivi;
Na Mimi nilisema ivi;
Sasa mbona kama waijua historia unatudanganya kuwa wenyeji walitaka kumuondoa mu oman? wakati ugomvi huu haukuhusisha wenyeji?
Kucopy Wikipedia sio kujua historia.
Akili yako wewe ndio haiko sawa na ukitafutacho katika search Injini hukijui
aliyetupeleka wiipedia sio mimi, mm nilikuwana naelezea niyajuayo kutoka na simulizi za wale wabobeaji wa makumbusho pale Zanzibar na kutuia Gazeti la RAI na nikijua kabisa Historia ya STD IV hata na vitabu
Nilikuwa nakusaidia wewe usiyejua Histori ya MuOman ulipobana Post #202
Dos.2020
JF-Expert Member
Joined Feb 17, 2009
rep.png
1,542
like.png
819
point.png
280
Friday at 3:53 PM#202
chilubi said:
Jamii ya kibantu ilikuwepo mwanzo, ikaja ikatawaliwa na mreno, wareno wakaja kuondolewa na waarabu wa oman (hawa waliitwa na wenyeji).

Mumewahi isikia Sultanate of Kilwa au Kilwa Empire? mumewah kumsikia mtu alieitwa
Ali ibn al-Hassan Shirazi, ambaye ndie alikua founder wa Kilwa Empire?

Wakuu historia ya kweli sio hii tunayosomeshwa tuliotengenezewa na Tanu.
yeye Dos.2020 ndiye aliyetaka twende Wikipedia kuwa hivyo Visiwa havikuwa na Wenyeji (Wabantu) mm ndipo nikamfafanulia hiyo Wikipedia inasema walikuwepo Wabantu kabla ya mwarabu na huyo Mshirazi Ali Ibn al-Hassan Shiraz Ali ibn al-Hassan Shirazi - Wikipedia ilikuwa ukiiclick inakupeleka huko kuwa huyo ndiye Founder wakati ni UONGO
 
Sasa mbona kama waijua historia unatudanganya kuwa wenyeji walitaka kumuondoa mu oman? wakati ugomvi huu haukuhusisha wenyeji?
Kucopy Wikipedia sio kujua historia.
Ndugu yangu Mada tumeimaliza kwani wote hamtuwekei Link km (Ushuhuda) evidence ya hayo msemayo ni kubwabwaja tu mm kwa majibu nimekuwekea kwanini hawa Ndugu waili wa Sultani Said waligombana na Muingereza kumuweka wampendae
kasome Post # 209
Labda kwa faida ya wengine ni kuwa Sultani sayyed wa Oman alikuwa na watoto wawili Majid na Thuwaini
Thuwain akatawala Oman na Majid akatawala Zanzibar
Vita vya kwanza vya muda mfupi vilitokeaje? baada ya Sultan Thuwain kufariki mtoto wa Barghash (Khalid) ambaye ndiye angerithi Waingereza hawakumpenda wakamtaka ajiuzulu, alikataa hivyo wakapiga Kombora na Jengo moja na kumumbia asalimu la sivyo watamshukia akatii na wakamuweka Hamoud
In August 1896, Britain and Zanzibar fought a 38-minute war, the shortest in recorded history, after Khalid bin Barghashhad taken power after Hamid bin Thuwaini's death. The British had wanted Hamoud bin Mohammed to become Sultan, believing that he would be much easier to work with. The British gave Khalid an hour to vacate the Sultan's palace in Stone Town. Khalid failed to do so,
labda kwa kukusaidia ingia katika lugha za wenzetu usome Utawala huo kutoka Sayyid said mpaka kwa Sultan Jamsheed aliyepinduliwa 1964
hebu pekua mwenyewe na ukirudi uwe na link tuone wewe una kumbukumbu gani sio za kuhadithiwa vijiweni kuwa Kisiwa cha Zanzibar ni cha waarabu wa Oman na Persia
List of Sultans of Zanzibar - Wikipedia
 
Mkuu linapozungumzwa suala la Zanzibar na waarabu, anaezungumziwa ni Watawala wa Ki Oman.

Watawala wa kioman waliwakuta wabantu (Ama tuseme wafrika). Lakini ukisoma tena kurudi nyuma, hata hao wabantu ni wakuja!

Mkuu sio kweli watawala WakiOman hawakuwakuta wabantu kama ndio watawala au ndio wanaoishi pekee. Pitia vizuri historia mkuu. Kaisome KIlwa empire vizuri. Washirazi wametawala miaka mingi sana mkuu. Nawao pia walikwakuta wa Yemen wakitawala.
Historia inapotoshwa na yote ni kwasababu ya kutengenezea mazingira watu fulani waonekanwe ni mashujaa.
 
Mkuu linapozungumzwa suala la Zanzibar na waarabu, anaezungumziwa ni Watawala wa Ki Oman.

Watawala wa kioman waliwakuta wabantu (Ama tuseme wafrika). Lakini ukisoma tena kurudi nyuma, hata hao wabantu ni wakuja!

Mkuu wewe ndio unafahamu hivo lakini wapo wengi fikira zao zinakua huo ujio wa Sayyid Said ndio ujio wa waarabu Zanzibar. Na wanaamini kabla yake hakukua na Muarabu yoyote.
 
Kwenye matukio huwa kunakuwa na watu wengi. Si lazima kuwataja wote. Nijuavyo mie aliemfata personally Nyerere ni Maalim Seif na ndio maana sikutaja wengine walioko behind the scenes. Mara nyingi kwenye matukio ya siasa kunakuwa na wale watu wa mbele na kuna wengine wapo nyuma wakisukuma wenzao.

Lakini sivo linavochukuliwa na Jamii au maadui wake. Linavopaliliwa utafikiri ilikua ni personal ajenda yake yeye.
 
Akili yako wewe ndio haiko sawa na ukitafutacho katika search Injini hukijui
aliyetupeleka wiipedia sio mimi, mm nilikuwana naelezea niyajuayo kutoka na simulizi za wale wabobeaji wa makumbusho pale Zanzibar na kutuia Gazeti la RAI na nikijua kabisa Historia ya STD IV hata na vitabu
Nilikuwa nakusaidia wewe usiyejua Histori ya MuOman ulipobana Post #202

Pole sana mkuu, kwa kuwategemea wale mbona utaendelea kulishwa matango pori kwa sana tu
Wale wapo pale wameekwa na CCM, na watakachokwambia wao ni kile walichopangiwa na CCM tu.
 
Ndugu yangu Mada tumeimaliza kwani wote hamtuwekei Link km (Ushuhuda) evidence ya hayo msemayo ni kubwabwaja tu mm kwa majibu nimekuwekea kwanini hawa Ndugu waili wa Sultani Said waligombana na Muingereza kumuweka wampendae
kasome Post # 209
hebu pekua mwenyewe na ukirudi uwe na link tuone wewe una kumbukumbu gani sio za kuhadithiwa vijiweni kuwa Kisiwa cha Zanzibar ni cha waarabu wa Oman na Persia
List of Sultans of Zanzibar - Wikipedia

Tunasubiri na zako za kututhibitishia kama Zanzibar ni ya wabantu.
 
Akili yako wewe ndio haiko sawa na ukitafutacho katika search Injini hukijui
aliyetupeleka wiipedia sio mimi, mm nilikuwana naelezea niyajuayo kutoka na simulizi za wale wabobeaji wa makumbusho pale Zanzibar na kutuia Gazeti la RAI na nikijua kabisa Historia ya STD IV hata na vitabu
Nilikuwa nakusaidia wewe usiyejua Histori ya MuOman ulipobana Post #202

yeye Dos.2020 ndiye aliyetaka twende Wikipedia kuwa hivyo Visiwa havikuwa na Wenyeji (Wabantu) mm ndipo nikamfafanulia hiyo Wikipedia inasema walikuwepo Wabantu kabla ya mwarabu na huyo Mshirazi Ali Ibn al-Hassan Shiraz Ali ibn al-Hassan Shirazi - Wikipedia ilikuwa ukiiclick inakupeleka huko kuwa huyo ndiye Founder wakati ni UONGO

Twambie ukweli mkuu tutakuskiliza.

Je unauitambua Usultan wa kilwa?
 
Mkuu kabla ya huyo muarabu mnaemsema Hakukua na jamii ya kibantu tu kama mnavozungmza au mnavoamani.

Mumewahi isikia Sultanate of Kilwa au Kilwa Empire? mumewah kumsikia mtu alieitwa Ali ibn al-Hassan Shirazi, ambaye ndie alikua founder wa Kilwa Empire?

Wakuu historia ya kweli sio hii tunayosomeshwa tuliotengenezewa na Tanu.
Founder wa Kilwa Empire wakati ameikuta Kilwa ipo? Tuache kuwatukuza hawa watu weupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom