habari wadau..
najua wale wapenzi wa news wanajua seke seke la mwandishi kashogi aliyeuwawa kwenye ubalozi wa saudi arabia uliopo uturuki..
wauaji wote 15 ni wafanyakazi wa usalama wa taifa wa saudi arabia.. na inasemekana walitumwa na kiongozi wa nchi ya saudi arabia wamuue mwandishi huyo ambaye anaipinga sana serikali yao...
wauaji hao walifanikisha hilo vizuri kabisa kwa kusaidiwa na serikali yao.. ambapo balozi wao aliwapa msaada mkubwa kuhakikisha anamseti mwandishi kashoggi aje ubalozini.. wakamuua...
na waliandaa plan nzuri sana ya kumtafuta mtu anaefanana na kashoggi na wakamvalisha nguo zake na ndevu zake ili atoke ubalozini kuonesha kashoggi ametoka mzima...
kosa moja la kizembe ni huyo body double agent anaefanana na kashoggi halisi kushindwa kuvaa viatu vya kashoggi.. na kuvaa viatu vyake wakati anatoka akijifanya yeye ni kashoggi.. na cctv za majirani zikamdaka... na hapo wakati anaingia ubalozini cctv za majirani zilimdaka yeye alivyovaa na kashoggi halisi wakati anaingia ubalozini nazo cctv za jirani zilimrekodi...
mwanzo serikali ya saudi arabia ilikuwa upande wao kupinga kashoggi alitoka mzima kabisa na ushahidi upo...
cctv zilivyotolewa viatu vikawa tofauti.. kuona hivyo serikali ya saudia imewaruka timu ya watu 15 na kusema wao ndio wamemuua hawajawatuma na kama punishment wapewe wao...
imagine mkuu wa usalama wa taifa, mlinzi wa rais anarukwa na serikali yake... kisa msala... serikali iwasafirishe kwa ndege ya kukodi asubuhi.. na baada ya mauaji iwarudishe.. iwape per diem, na bado inawaruka wanyongwe peke yao
kazi za watu sio zama hizi
Saudi Arabia calls Khashoggi killing 'grave mistake,' says prince not aware | Reuters
najua wale wapenzi wa news wanajua seke seke la mwandishi kashogi aliyeuwawa kwenye ubalozi wa saudi arabia uliopo uturuki..
wauaji wote 15 ni wafanyakazi wa usalama wa taifa wa saudi arabia.. na inasemekana walitumwa na kiongozi wa nchi ya saudi arabia wamuue mwandishi huyo ambaye anaipinga sana serikali yao...
wauaji hao walifanikisha hilo vizuri kabisa kwa kusaidiwa na serikali yao.. ambapo balozi wao aliwapa msaada mkubwa kuhakikisha anamseti mwandishi kashoggi aje ubalozini.. wakamuua...
na waliandaa plan nzuri sana ya kumtafuta mtu anaefanana na kashoggi na wakamvalisha nguo zake na ndevu zake ili atoke ubalozini kuonesha kashoggi ametoka mzima...
kosa moja la kizembe ni huyo body double agent anaefanana na kashoggi halisi kushindwa kuvaa viatu vya kashoggi.. na kuvaa viatu vyake wakati anatoka akijifanya yeye ni kashoggi.. na cctv za majirani zikamdaka... na hapo wakati anaingia ubalozini cctv za majirani zilimdaka yeye alivyovaa na kashoggi halisi wakati anaingia ubalozini nazo cctv za jirani zilimrekodi...
mwanzo serikali ya saudi arabia ilikuwa upande wao kupinga kashoggi alitoka mzima kabisa na ushahidi upo...
cctv zilivyotolewa viatu vikawa tofauti.. kuona hivyo serikali ya saudia imewaruka timu ya watu 15 na kusema wao ndio wamemuua hawajawatuma na kama punishment wapewe wao...
imagine mkuu wa usalama wa taifa, mlinzi wa rais anarukwa na serikali yake... kisa msala... serikali iwasafirishe kwa ndege ya kukodi asubuhi.. na baada ya mauaji iwarudishe.. iwape per diem, na bado inawaruka wanyongwe peke yao
kazi za watu sio zama hizi
Saudi Arabia calls Khashoggi killing 'grave mistake,' says prince not aware | Reuters