- Thread starter
- #21
kosa la 3 na kubwa sana.. hawakukumbuka kama majirani wanaweza wakawa na cctv.. wao waliondoa hard disk kwwnyw cctv za ubalozini tu.. cctv za majirani zina kila taarifa ya nje ya ubalozi.. kuanzia wanaingia , kashogi anaingia wanazo.. na wanapotoka nje
Makosa mawili makubwa ambayo aliyafanya huyo Body Double Agent ni kutokuvaa viatu vya Kashoggi(huenda alisahau au havikumtosha),pia kudharau au kushindwa kubadili suala la mwonekano wa nywele za kichwani.
Hili jambo acha tuone mwisho wake.