Habari wanajf,
Kumekuwepo na matukio ya Mara kwa Mara yanayohusisha Wanajeshi wetu walioko Kongo kwa ajili ya kulinda amani, kuuawa na washambuliaji wanaodhaniwa kuwa ni waasi.
Lakini ikukumbukwe kuwa kumekuwepo na tetesi za muda mrefu kuwa majeshi ya Rwanda ndiyo yanayoendesha chokochoko huko Kongo kwa Maslahi ya Uchumi wa Rwanda, na mtakumbuka pia kipindi Kikwete Alipopeleka majeshi huko Rwanda na kuwafurusha waasi uhasama kati ya yeye na Kagame uliibuka kwa kasi ya 4G.
Sasa kutokana na Cinario hiyo je, kuna uwezekano Rwanda ndiyo inayohujumu Majeshi yetu huko Kongo?
Ingawa inaweza isiwe kweli lakini ningeomba wahusika walifanyie uchunguzi suala hili na pia uhusiano wa majeshi yetu na nchi hii uangaliwe kwani huenda wanachota mbinu na namna ya kuatack majeshi yetu huko Kongo kwa ajili ya maslahi yao
Nawasilisha
Kumekuwepo na matukio ya Mara kwa Mara yanayohusisha Wanajeshi wetu walioko Kongo kwa ajili ya kulinda amani, kuuawa na washambuliaji wanaodhaniwa kuwa ni waasi.
Lakini ikukumbukwe kuwa kumekuwepo na tetesi za muda mrefu kuwa majeshi ya Rwanda ndiyo yanayoendesha chokochoko huko Kongo kwa Maslahi ya Uchumi wa Rwanda, na mtakumbuka pia kipindi Kikwete Alipopeleka majeshi huko Rwanda na kuwafurusha waasi uhasama kati ya yeye na Kagame uliibuka kwa kasi ya 4G.
Sasa kutokana na Cinario hiyo je, kuna uwezekano Rwanda ndiyo inayohujumu Majeshi yetu huko Kongo?
Ingawa inaweza isiwe kweli lakini ningeomba wahusika walifanyie uchunguzi suala hili na pia uhusiano wa majeshi yetu na nchi hii uangaliwe kwani huenda wanachota mbinu na namna ya kuatack majeshi yetu huko Kongo kwa ajili ya maslahi yao
Nawasilisha