Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Huko Geita kuna mtu amekutwa amechinjwa na kutupwa kwenye boma, na hii inatokea wiki moja baada ya mlinzi kukutwa amechinjwa na watu wasiofahamika
mauaji hayo yamehusishwa na ushirikina
Kuuuumbe wanaochinja watu kinyama hivyo ni Nyuki wa Ikulu?Wanachokoza Nyuki wa Ikulu shauri yao?
Huko Geita kuna mtu amekutwa amechinjwa na kutupwa kwenye boma, na hii inatokea wiki moja baada ya mlinzi kukutwa amechinjwa na watu wasiofahamika
mauaji hayo yamehusishwa na ushirikina
Police wako busy kukamata wanasiasa.....
Shame on you policcm....
Na laana iwaendee police wote wanaosababisha vifo vya kizembe...........
Sio siasa bali UKWELI NI HUU.mkuu, siasa zimekuharibu kiasi hiki??