muxin
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 175
- 61
Huenda angeondoa gar, angetengenezewa ajari coz hata tairi walipasua.drva anapaswa kuchunguzwa sana manake kama alishtukia alipaswa nkuwa na taghadhari kubwa hata kwa kubadili njia au pia baada ya risas kuanza kulindima alipaswa kuondoa kwa gari kwa spid ya hatare hii ingeweza kuokoa au kupunguza idadi ya risasi dhidi ya bosi wake ama kiongozi lisu
huyu hastail pongezi zaid alaumiwe kwa uzembe mkubwa aliofanya we haiwezekani risas zinanza we umepaki kagari kako na unajua sio bullet proof
Sent using Jamii Forums mobile app