Ndugu wana JF.
Upande mwingine tuache tu kumsakama Kikwete kuhusu yanayoendelea sasa hivi kwa kutumia tu rungu tu la siasa zetu za ndani. Mkae mkijua kuwa kuna sheria za kimataifa na taifa baina ya nchi na nchi. Sisi tulipokuwa na tatizo la Zanzibar katika uchaguzi mlimsikia Kibaki au Mseveni? Jibu ni hapana. Kuna siasa za ndani ya nchi ambazo rais jirani hana mamlaka ya kwenda na kuwaunganisha majirani katika vurugu kama hii ambayo bado ni mbichi. Kuna taratibu zake. Sasa watu mnaongea ccm, mnataka ccm ifanye nini? Mnataka makamba au mseka au kikwete aende kenya sasa hivi kufanya mikutano na viongozi. Matatizo ya ndani yanamalizwa na wenye nchi wenyewe unless kuna damu ikimwagika sasa mataifa ya nje hayana budi kuingilia lakini kwa kujihadhari. Kikwete asilaumiwe kwa hili. Ameishatoa comment about this drama. Na amekubali kwamba alialikwa lakini kutokana na hali za kiusalama huko Kenya he could not make it. Muwe mnaangalia mifano kama niliyosema pale mwanzoni. When we had problems in Zanzibar who came in Zanzibar to cease the fire? Was that Museveni or Kibaki? The answer is no. Kwa Jumuiya ya Africa Mashariki inatakiwa kutoka ushauri kupitia Mwenyekiti wake Museveni as jumuiya but not individual as Kikwete. Guys tupunguze jazba za kumfanya Kikwete eti silence kwenye hili suala. Manataka yeye aingie stadium ya Kenya kutuliza jazba?
Kikwete has to play a good game there as a president of Tanzania.
Upande mwingine tuache tu kumsakama Kikwete kuhusu yanayoendelea sasa hivi kwa kutumia tu rungu tu la siasa zetu za ndani. Mkae mkijua kuwa kuna sheria za kimataifa na taifa baina ya nchi na nchi. Sisi tulipokuwa na tatizo la Zanzibar katika uchaguzi mlimsikia Kibaki au Mseveni? Jibu ni hapana. Kuna siasa za ndani ya nchi ambazo rais jirani hana mamlaka ya kwenda na kuwaunganisha majirani katika vurugu kama hii ambayo bado ni mbichi. Kuna taratibu zake. Sasa watu mnaongea ccm, mnataka ccm ifanye nini? Mnataka makamba au mseka au kikwete aende kenya sasa hivi kufanya mikutano na viongozi. Matatizo ya ndani yanamalizwa na wenye nchi wenyewe unless kuna damu ikimwagika sasa mataifa ya nje hayana budi kuingilia lakini kwa kujihadhari. Kikwete asilaumiwe kwa hili. Ameishatoa comment about this drama. Na amekubali kwamba alialikwa lakini kutokana na hali za kiusalama huko Kenya he could not make it. Muwe mnaangalia mifano kama niliyosema pale mwanzoni. When we had problems in Zanzibar who came in Zanzibar to cease the fire? Was that Museveni or Kibaki? The answer is no. Kwa Jumuiya ya Africa Mashariki inatakiwa kutoka ushauri kupitia Mwenyekiti wake Museveni as jumuiya but not individual as Kikwete. Guys tupunguze jazba za kumfanya Kikwete eti silence kwenye hili suala. Manataka yeye aingie stadium ya Kenya kutuliza jazba?
Kikwete has to play a good game there as a president of Tanzania.