kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Hili halitaacha kujadiliwa milele katika nchi hii ni tukio la kuhuzunisha na kufedhehesha na pia ni moja ya sababu ya kupigilia msumali wa mwisho katika jeneza la CCMDuh, sasa wamwache marehemu apumzike,kila siku anaibuka mwingine na stori ile ile. Hizi topic zinajaza server tu sasa.