Mwezi mmoja WA KAZI GANI??? Siku saba (7) tuu zinatosha, au mnataka mda wa kuanza ushawishi wa kuchakachua ukweli wa mambo??
Tulishapoteza naye imani kwenye kifo cha marehemu Ally Zona Morogoro baada ya kutoa majibu ya hovyo kabla ya TUME na kisha TUME ikaleta majibu ya hovyo hayohayo. Vilevile tunamshangaa kwa kuwashirikisha POLISI wa hapa nchini kwenye TUME hizi ambazo na wao ni walalamikiwa/wahalifu. Hatutegemei jipya, na kama mwendo ndiyo huu basi ni dhahiri SERIKALI yetu imeshindwa. Kwa ushauri wa harakaharaka ni bora yeye na wakuu wenzie wa Wizara ya Mambo ya ndani akiwemo IGP Mwema wajiuzuru haraka ili kurejesha imani kidooogo na jeshi letu la polisi pamoja na serikali.
ameipa mwezi mmoja ilete taarifa, anasema kuna maswali mengi yamegubika kifo cha Mwangosi mojawapo ikiwa ni mahusiano kati ya mwandishi na jeshi la polisi na amesema hivi karibuni atachukua hatua kali dhili ya polisi wazembe
- Judge...........Mwenyekiti
- Theophile Makunga-Tanzania Editors Forum (TEF)
- Pili Mtambalike-MCT
- Jeshi la Polisi
- Mtaalamu wa Mabomu
ameipa mwezi mmoja ilete taarifa, anasema kuna maswali mengi yamegubika kifo cha Mwangosi mojawapo ikiwa ni mahusiano kati ya mwandishi na jeshi la polisi na amesema hivi karibuni atachukua hatua kali dhili ya polisi wazembe
- Judge...........Mwenyekiti
- Theophile Makunga-Tanzania Editors Forum (TEF)
- Pili Mtambalike-MCT
- Jeshi la Polisi
- Mtaalamu wa Mabomu
Hivi kuna tume ngapi?
Polisi watatugeuka muda si mrefu. Mkuu Tumaini Makene, hayo makubaliano ya kufanya uchunguzi wa pamoja mliandikishana au??