Mauaji ya Daudi Mwangosi: Jaji Mstaafu Ihema Kuongoza Tume Huru ya Uchunguzi!

Tume za Arusha,mbeya na juzi juzi Morogoro hazijatoa majibu anaunda nyingine. Hawa jamaa masnitch kweli kweli.
 
mimini ninachojua Tume ya uchunguzi au uchunguzi wowote ule hufanyika pale ambapo vielelezo na vidhibiti vinakosekana. Waandishi wa habari wanazopicha za video pamoja na picha mnato waziwazi zinaonyesha kila kitu eti bado mnaniambia great thinker nisubiri majibu ya tume. Nashawishika kusema nyie ndio wale wanaochamba mapema kabla ya kunya ili kuokoa muda wakati wanasubiri foleni ya kuingia chooni. Wakitoka chooni wanawacheka wanochelewa kutoka huku wakisema " we mjinga unachamba saa hizi, mwenzako nilichamba mapema kabla ya kunya". Namna hii mauaji yataendelea maana watu wanapata ulaji kupitia tume.
 
Kwa CCM kuizuia CHADEMA at all costs ni mpango-kazi na kipaumbele chao kati ya sasa na 2015. It's utter misery if you take into account the national basket fund to being misused to foster these killings, maims and endless attrocities. Think about it, that's CCM's top objective.

I deeply regret my little tax has been used against my will; viciously expended against myself, my countrymen and very obviously against CHADEMA. I will therefore not obey or act in any reasonable civility manner when I happen to deal with anything CCM. I'm just being honest.
 
Sielewi kama utawala huu utaondoka madarakani kwa usalama. Waziri amekurupuka leo anaunda Tume kuchunguza jambo la wazi. Alafu eti anawapa mwezi mmoja! Kuchunguza nini? Ningesikia anachunguza mauaji Polisi wamekua wanaua wananchi kwa uzembe,aina ya mafunzo wanapewa Polisi,elimu na wanapandishwa vipi vyeo,nk ningeelewa! Na kichekesho ni kwamba anayeunda Tume ndiye alitoa amri ya mauaji!
 
Kuna uhalali gani wa Jeshi la Polisi kuwemo kwenye tume hii? Nilidhani kwua wao ni watuhumiwa namba moja? Halafu, mwezi mmoja wote huo wa nini? wanataka tusahau yaliyotokea ili watakapotoa ripoti mambo yawe yameshapoa! kama ni hivyo wanajidanganya, tukio hili halitasahaulika kamwe
Tume kwa nini?kuna mambo mengi ambayo bado hayana majibu kama vile Mwangosi kapigwa na nini?je ni bomu kama ambavyo polisi wanadai na hapo ndipo afisa kutoka polisi atasaidia wajumbe wengine wa tume. Mttaalamu wa mabomu anatakiwa kusema ni kwa nini bomu la machozi lilipuke kama grunet na sio kutoa moshi!je hapo kulikuwa kuna defect ya bomu lenyewe au ni aina mpya tofauti na tunayoijua sisi siku zote na jaji ataangalia kama kuna criminal imetendeka na kina Makunga wataangalia tume inatenda haki.tungoje majibu kwa kuwa ni siku 28 tu.
 
Ninamuomba Mungu ataoe adhabu kali na ya wazi kwa wauwaji hawa hata kabla ya huo mwezi mmoja kukamilika.
Natumai Mungu atasikia na kupokea dua yangu pamoja na vilio, machozi na damu za Watanzania wasio na hatia, ambao kosa lao kubwa ni kuzalia katika nchi ya walafi wa madaraka na matumbo yao.

Mungu awalaani!
 
  1. Judge...........Mwenyekiti
  2. Theophile Makunga-Tanzania Editors Forum (TEF)
  3. Pili Mtambalike-MCT
  4. Jeshi la Polisi
  5. Mtaalamu wa Mabomu
ameipa mwezi mmoja ilete taarifa, anasema kuna maswali mengi yamegubika kifo cha Mwangosi mojawapo ikiwa ni mahusiano kati ya mwandishi na jeshi la polisi na amesema hivi karibuni atachukua hatua kali dhili ya polisi wazembe

Mwezi mmoja WA KAZI GANI??? Siku saba (7) tuu zinatosha, au mnataka mda wa kuanza ushawishi wa kuchakachua ukweli wa mambo??
 
  1. Judge...........Mwenyekiti
  2. Theophile Makunga-Tanzania Editors Forum (TEF)
  3. Pili Mtambalike-MCT
  4. Jeshi la Polisi
  5. Mtaalamu wa Mabomu
ameipa mwezi mmoja ilete taarifa, anasema kuna maswali mengi yamegubika kifo cha Mwangosi mojawapo ikiwa ni mahusiano kati ya mwandishi na jeshi la polisi na amesema hivi karibuni atachukua hatua kali dhili ya polisi wazembe

Hakuna lolote hapo wakuu. Mjinga mmoja police katekeleza ujinga kama alivyoagizwa na mwanasiasa fulani mjinga. Hapa wanajaribu kutusahaulisha tu. Jiulize hivi: Mbona Kifo cha Kanumba kiligubikwa na utata mkubwa lakini mtuhumiwa akawekwa rumange wakati uchunguzi na kesi vinaendelea? kwanini isiwe hivyo kwa muuaji/wauaji hawa ambao hata chembe ya utata haipo? au wao wanamatako ya uso tofauti na wengine?
 
Mi nilikuwa nategemea yafuatayo yatokee;-
1. Nchimbi kujiuzuru mara moja
2. IGP Mwema kujiuzuru mara moja
3. R.P.C Mkoa kuswekwa lupango wakati uchunguzi unafanyika.
4. F.F.U wote walio kuwa Nyororo kuswekwa lupango wakati uchunguzi wa kina ukifanyika
 
  1. Judge...........Mwenyekiti
  2. Theophile Makunga-Tanzania Editors Forum (TEF)
  3. Pili Mtambalike-MCT
  4. Jeshi la Polisi
  5. Mtaalamu wa Mabomu

Mtaalamu wa mambomu wakati mwili ulishazikwa na eneo la tukio kuvurugwa siku nyingi? Inashangaza polisi ambao wanajua maana ya ku "secure crime area" walikuwa wa kwanza kuuondoshwa mwili haraka haraka kabla ya "crim scene" haijafanyiwa uchunguzi"

Nchi gani hii, polisi hawaaminiki, usalama wa taifa hawaaminiki, Takukuru hawaaminiki, eeeh!
 
  1. Judge...........Mwenyekiti
  2. Theophile Makunga-Tanzania Editors Forum (TEF)
  3. Pili Mtambalike-MCT
  4. Jeshi la Polisi
  5. Mtaalamu wa Mabomu
  6. ameipa mwezi mmoja ilete taarifa, anasema kuna maswali mengi yamegubika kifo cha Mwangosi mojawapo ikiwa ni mahusiano kati ya mwandishi na jeshi la polisi na amesema hivi karibuni atachukua hatua kali dhili ya polisi wazembe

Sasa tume imeundwa kuchunguza bomu limelipuka je? keshakufa na kuisemea nafsi iliyolala...Tumechoka
 
Mwezi Mmoja??? Wanachodhani hapa ni kuwa hasira za wanainchi zitakuwa zimepungu na kumbukumbu kufutika kiasi cha hata taarifa hasi zikija tutazikubali tu.
 
Ila waziri wa mambo ya ndani katika swala hili angeachia ngazi akae pembeni ili kuonesha uzito wa swala lenyewe halafu baada ya hapo hao wengine wangejitafakari wenyewe wajichukulie hatua gani wakati wanasubiri matokeo.

kwa afrika hii????thubutuuuu,,,,sauzi afrika wamekufa zaidi ya 30 na waziri muda huu anakula kiyoyozi,jana wamewatwangana wengine wawili,,,,ije kuwa Tanzania!!!!!tena mtu mmoja???fogeti zat wazo
 
Anaunda tume ya nini, aingie JF a download picha zote za matukio awepelekee watoto wachekechea walio jirani yake awaulize muuaji ni nani na ametumia silaha gani watamwambia.Aache kufuja hela zetu za walipa kodi waliopigika zifanye kazi ingine ,aenda akaangalie vipaumbele ktk wizara yake hizo pesa za tume azipeleke huko.Halafu iwekwe kwenye katiba kabla ya taarifa iliyotangulia ya tume kutoka ,isiundwe tumme ingine kwa kila taasisi husika ili tuone Impact ya tume ya awali.
 
mtaalamu wa mambomu wakati mwili ulishazikwa na eneo la tukio kuvurugwa siku nyingi? Inashangaza polisi ambao wanajua maana ya ku "secure crime area" walikuwa wa kwanza kuuondoshwa mwili haraka haraka kabla ya "crim scene" haijafanyiwa uchunguzi"

nchi gani hii, polisi hawaaminiki, usalama wa taifa hawaaminiki, takukuru hawaaminiki, eeeh!

tcu hawaaminiki,ewura hawaaminiki,sumatra hawaaminiki,uhamiaji hawaaminiki,heslb hawaaminiki,wabunge hawaaminiki,madaktar hawaaminiki,madereva wa daladala hawaaminiki,jf hawaaminiki,eateli,voda,tigo,sasatel nao hawaaminiki,mawaziri hawaaminiki,majaji vihiyo hawaaminiki,wafanyabiashara hawaaminiki,,,,,,,,
ongezea basi
 
Back
Top Bottom