Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,928
- 63,939
Don't. Hakuna.Sina hakika. Nitafuatilia hilo.
Don't. Hakuna.Sina hakika. Nitafuatilia hilo.
Kule wanachukua watu wowote hata ambao hawajapitia mgamboHivi suma Jkt ni askari au mugambo wanaoruka na kukanyagana??
Migambo nilikua nawapita kibabe pale Ferry nawapita wakiuliza nawajibu staffKawaulize utasaidie kupata majibu mkuu
sasa unakaa karibu na polisi ili ugundue nini!!!Polisi wana stress sana.
Usikae karibu yao, either watakumaliza au watakubambikia kesi.
Hakuna watu nawaogopa kama polisi.
Suma jkt wengi ukiwachunguza wako stressed, mtu alikwenda jkt kwa lengo one day awe mjeda alafu anaishia kuwa mlinzi, weng wao wako depressed sana
jeshi lingewasaidia hata kuwa ongezea maslahi kidogo waweze kujikimu
Binafsi naona serikali ingewasaidi kuanzisha kampuni zao binafsi za ulinzi japo wafaidike siyo kufaidisha viongozi waoSuma jkt wengi ukiwachunguza wako stressed, mtu alikwenda jkt kwa lengo one day awe mjeda alafu anaishia kuwa mlinzi, weng wao wako depressed sana
jeshi lingewasaidia hata kuwa ongezea maslahi kidogo waweze kujikimu