Burdani kwa kweli 😅😅Kwamba aliyeibiwa vinywaji anapanga mipango wakaibe mwili hospitali.
Huyo K naye ni wa kuuwawa kwa wizi wa mwili
Burdani kwa kweli 😅😅Kwamba aliyeibiwa vinywaji anapanga mipango wakaibe mwili hospitali.
Huyo K naye ni wa kuuwawa kwa wizi wa mwili
Burdani kwa kweli
Siasa imewatala hadi bongo zenu zimefreezeHili suala la mdogo wako kuuliwa kisha ufanye mazungumzo siyo rahisi, najua hata wewe mleta mada huwezi, yawezekana kuna siasa mnataka kuzipitishia katika hili.
Wanaweza mnyongaya Tarime ni mengi sana. Ngoja akakae na watu aliowafunga gerezan...
!Tajiri hakamatwi kizembe wewe! Pesa itakamatwa kwa niaba yake!! Tajiri akamatwe kisa masikini kataka? Hapana aisee,siyo kwa utawala wa mama
na kuna ile ya kuachiwa sababu mashahidi hakuna.Japokua Ni kinyume na sheria,
ila Naungana na mwenyekiti wa halmashauri!
Wezi dawa yao wauawe TU, Haina namna
Unapelekea mwizi polisi mwezi Mei,
Mwezi Juni anahukumiwa jela.
Kisha novemba (miezi 5 baadae) siku ya Uhuru anapata msamaha wa raisi.
Anarudi Tena mtaani kanenepa kutuibia zaidi,
Huu upuuzi haukubaliki hata kidogo
Wakurya wa siku hizi utadhani Warisya! sjui huyu mtoa taarifa wa ukoo gan hadi anatia huruma nadhani hukwenda jando!Wanaweza mnyonga
huwezijua hasara zake mpaka siku umeibiwa na mwizi anakuja samehewa miezi kadhaa mbele.Utawala wa sheria mkuu. Ni kweli dogo kakosea na ndio maana Polisi na Mahakama zipo
Wanasemaje???Vizuri kwa kutoa taarifa hapa. Nimeiona ITV habari hii.
NyankundoWakurya wa siku hizi utadhani Warisya! sjui huyu mtoa taarifa wa ukoo gan hadi anatia huruma nadhani hukwenda jando!
tayari wameshalitia ndani hilp Tajiri, naona Mkuu wa Wilaya ya Tarime na Mkuu wa kiPolisi Kanda ya Tarime wametamkaTajiri hakamatwi kizembe wewe! Pesa itakamatwa kwa niaba yake!! Tajiri akamatwe kisa masikini kataka? Hapana aisee,siyo kwa utawala wa mama
Mimi npo rorya kesi Kama hizo wanamaliza kienyeji Sana.