Hawa ni wapinzani wa serikali ya CCM,ambao wakati ule walikuwa watiifu,wakiwa na mapenzi na imani na serikali na nchi yao,je wakikusanyika hivi,na wakadai haki za kibinaadamu zinazovunjwa zikome,itakuwaje ?????. Ukawa Huu ni wakati wa kuitisha milions march dar,Kwa maombolezi ya waliotekwa,kuuwawa na uvunjwaji wa haki za binaadamu.
Historia zinajionesha wazi,ukandamizaji haudumu,kulikuwa hakuna sababu ya kutumia mbinu hizi,kwa watanzania wengi,waliokuwa wakiipenda nchi Yao,demokrasia ni Kwa akili ya maendeleo,sio ukandamizaji wa haki za binaadamu.
Historia zinajionesha wazi,ukandamizaji haudumu,kulikuwa hakuna sababu ya kutumia mbinu hizi,kwa watanzania wengi,waliokuwa wakiipenda nchi Yao,demokrasia ni Kwa akili ya maendeleo,sio ukandamizaji wa haki za binaadamu.