playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,647
- 1,565
kama wanaweza kuwadhuru wanaojulikana like Tundu Lissu nabkuwapoteza akina Ben saa 8 na kuwateka wasanii maarufu kama Roma,hao ambao hawajulikani unashangaa nn kuwakuta kwenye viroba?, ngojeni siku wakutwe ndugu zenu wa familia moja wamekufa ndo mtaelewaSikubaliani kwamba maiti hizo ni za wakosoaji wa serikali kwa sab wanaoikosoa serikali kwa kufikia hatua ya serikali kustuka au kukasirika ni wale wenye wafuasi wengi na wenye convincing power ya kutosha lkn wenye access kubwa kwenye media watu wa namna hiyo wote wanajulikana kwa majina vyeo n.k
Kwa muktadha huo hakuna watu wa namna hiyo walioripotiwa kupotea ambao wanaweza kuakisi hata asilimia tano ya maiti zilizopatikana mpk sasa.
Haiwezekani watu wenye calibre niliyoitaja wapotee kimya kimya never.
Mpk sasa anayesemekana amepotea mwenye calibre hiyo ni Ben saa nane tu.
Ninashawishika kuamini maiti zile zinatoka nje ya Tanzania.