Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,504
- 12,169
Nyingine imeokotwa ufukwe wa Kawe leo
InahusikaKwanini Serikali kupitia Jeshi la Polisi halitoi taarifa kamili kuhusu hizi maiti zinazookotwa kila uchwao huko fukweni,kuna nini nyuma ya pazia?
Kama vile hujaielewa comment ya Joka kuu.. anyway labda Mimi ndiye sijaelewa..Bora wewe unayaangalia mambo katika angle tofauti,ngoja waje wale wakuilaumu serikali ktk kila jambo
Its likely...kuna wanaotushawishi tuamini kwamba maiti hizo zinatokea ANGOLA -- Atlantic Ocean.
.
Kuna wengine wanasema eti zinatokea Bangladesh. Duh...kuna wanaotushawishi tuamini kwamba maiti hizo zinatokea ANGOLA -- Atlantic Ocean.
.
Unadhani huyo serikali itakuwa inashida nae nini ukihusisha udiktekta?Kuna jamaa huku kitaa anaitwa fataki alisema tukio la lissu lina mkono wa serikali ,kilichotokea kachukuliwa na maofisa na mpaka Leo haijulikani yupo wapi ..ametafutwa vituo vyote amekosekana
Sasa atakua wapi ???
Huyu ni mmoja tu wa huku mtaani je wa mitaa mingine tusiomjua
Tena huyo fataki masikini ya mungu alikuwa mzibua chemba ,vyoo na fundi...
Huyo jamaa ni wa Morogoro niniKuna jamaa huku kitaa anaitwa fataki alisema tukio la lissu lina mkono wa serikali na hio siku alikuwa kalewa anaropoka tu,kilichotokea kachukuliwa na maofisa na mpaka Leo haijulikani yupo wapi ..ametafutwa vituo vyote amekosekana
Sasa atakua wapi ???
Huyu ni mmoja tu wa huku mtaani je wa mitaa mingine tusiowajua
Tena huyo fataki masikini ya mungu alikuwa mzibua chemba ,vyoo na fundi...
Sikubaliani kwamba maiti hizo ni za wakosoaji wa serikali kwa sab wanaoikosoa serikali kwa kufikia hatua ya serikali kustuka au kukasirika ni wale wenye wafuasi wengi na wenye convincing power ya kutosha lkn wenye access kubwa kwenye media watu wa namna hiyo wote wanajulikana kwa majina vyeo n.k
Kwa muktadha huo hakuna watu wa namna hiyo walioripotiwa kupotea ambao wanaweza kuakisi hata asilimia tano ya maiti zilizopatikana mpk sasa.
Haiwezekani watu wenye calibre niliyoitaja wapotee kimya kimya never.
Mpk sasa anayesemekana amepotea mwenye calibre hiyo ni Ben saa nane tu.
Ninashawishika kuamini maiti zile zinatoka nje ya Tanzania.
Kuna jamaa huku kitaa anaitwa fataki alisema tukio la lissu lina mkono wa serikali na hio siku alikuwa kalewa anaropoka tu,kilichotokea kachukuliwa na maofisa na mpaka Leo haijulikani yupo wapi ..ametafutwa vituo vyote amekosekana
Sasa atakua wapi ???
Huyu ni mmoja tu wa huku mtaani je wa mitaa mingine tusiowajua
Tena huyo fataki masikini ya mungu alikuwa mzibua chemba ,vyoo na fundi...
SaafiKuna jamaa huku kitaa anaitwa fataki alisema tukio la lissu lina mkono wa serikali na hio siku alikuwa kalewa anaropoka tu,kilichotokea kachukuliwa na maofisa na mpaka Leo haijulikani yupo wapi ..ametafutwa vituo vyote amekosekana
Sasa atakua wapi ???
Huyu ni mmoja tu wa huku mtaani je wa mitaa mingine tusiowajua
Tena huyo fataki masikini ya mungu alikuwa mzibua chemba ,vyoo na fundi...