Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 892
Weekend hii nilikuwa Arusha, nilishangaa sana baada ya kuona maua yanapandwa sehemu za parking ya magari along sokoine au auhuru road.
Nilishangaa kwa sababu ukiangalia ufinyu wa sehemu ya kuegesha magari katika mji wa Arusha jambo linalokujia akilini ni jinsi ya kuongeza sehemu za parking hasa hasa katikati ya mji na sio kuzipunguza.
Sijui nani anawashauri hawa wanaopanda miti na kuizungushia matofali ambayo yameshagongwa na kubomoka. Hizo fedha haziwezi kutumika katika shughuli muhimu zaidi kama vile uzoaji wa taka zilizozagaa kila mahala?
Nilishangaa kwa sababu ukiangalia ufinyu wa sehemu ya kuegesha magari katika mji wa Arusha jambo linalokujia akilini ni jinsi ya kuongeza sehemu za parking hasa hasa katikati ya mji na sio kuzipunguza.
Sijui nani anawashauri hawa wanaopanda miti na kuizungushia matofali ambayo yameshagongwa na kubomoka. Hizo fedha haziwezi kutumika katika shughuli muhimu zaidi kama vile uzoaji wa taka zilizozagaa kila mahala?