YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,903
India ina watu wengi mno duniani lakini barabara za mikoa ukiwasha gari unatimua mbio bila shida huoni tuta popote. Vijijini hata kuwe na wafugaji vipi barabara huwa na kivuko chini kipana tu cha kupitisha hadi mifugo kwa hiyo juu yanakuwa yanapita magari tu kwa spidi bila hofu ya kugonga kiumbe aitwaye binadamu au mfugo.
Hii itasaidia pia kupunguza rushwa za barabarani za "ohhh ume overspidi!"
Na wale askari wa tochi si vibaya wakatafutiwa majukumu mengine. Miendo ya taratibu inaharibu magari na kuchelewesha uchumi. Gari imetengezwa na spidi ili zifikiwe, sio urembo.
Hii itasaidia pia kupunguza rushwa za barabarani za "ohhh ume overspidi!"
Na wale askari wa tochi si vibaya wakatafutiwa majukumu mengine. Miendo ya taratibu inaharibu magari na kuchelewesha uchumi. Gari imetengezwa na spidi ili zifikiwe, sio urembo.