Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
Wiki kadhaa baada ya TANROADS kutekeleza amri ya rais aliyoitoa alipokuwa akizindua barabara huko shinyanga ..ya kutaka barabara kama ya morogoro road kuanzia chalinze kuwekewa matuta,kutokana na ajali kwenye highway hiyo..wananchi wanaotumia barabara hiyo wamekubwa na kadhia kubwa..
kwa sasa matuta yanaanzia ubungo na yapo kila baada ya hatua chache,kiasi cha kusababisha FOLENI KUONGEZEKA MARA DUFU.......kwa kweli foleni ni kubwa sana wakati wa asubuhi.....ambapo mtu anayetoka kibamba inamchukua hadi masaa 2 ..kuvuka mataa ya ubungo....kwani matuta huamzia sehemu wanayoita mbezi mwisho ..ambapo pia watu wa TRA wameweka kituo chao kisichokuwa na parking na kusababisha msongamano wa malori.....
wakati wa jioni hali ni mbaya na msururu wa foleni usiokuwa na mwisho HUANZIA UBUNGO BILA KUKATIKA HADI KITUO CHA TRA MBEZI..hapo unaambiwa mwendo wa gari lazima uwe 10km/hr........watu waanatumia masaa 2.30...huku wengi wakiwa wamechoka....na kusababisha ONGEZEKO LA AJALI KUTOKANA NA BREKI AU MADEREVA KUSINZIA......pia magari mengine hukatikiwa mafuta yakiwa kwenye foleni au kuharibika na kuzidisha taharuki.....
zaidi ya ajali kuongezeka pia wenye magari madogo kwa makubwa wanalalamikia UHARIBIFU kutokana na bump kuwa triple na karibu karibu mno.......magari yanakata spring...
siku hizi magari kukuta yamepinduka asubuhi ni kawaida kwani hizo bump hazina SIGNS zinazoonekana mchana sembuse zinazoreflect usiku..na kusababisha madereva wanaopita usiku wa manane wakupwa nje ya barabara KILA SIKU...
kwa kifupi tuiangalie uamuzi huu kinyume na ushauri wa wataalamu wa barabara kuwa BUMP ..KWENYE HIGHWAY HAZIFAI.....na huu uamuzi wa kisiasa wa kuingilia utaalamu.......nadhani PIA TUFIKIKIRIE KUWEKA VIVUKO VYA MIGUU VYA FLYOVER AU BRIDGE AU UNGERGROUND..ROAD CROSS AMBAZO NI CHEAP kwenye vijiiji au maeneo yenye wakazi ..ili watembea miguu na waenda magari wote wawe salama kwenye highways...
kwa sasa matuta yanaanzia ubungo na yapo kila baada ya hatua chache,kiasi cha kusababisha FOLENI KUONGEZEKA MARA DUFU.......kwa kweli foleni ni kubwa sana wakati wa asubuhi.....ambapo mtu anayetoka kibamba inamchukua hadi masaa 2 ..kuvuka mataa ya ubungo....kwani matuta huamzia sehemu wanayoita mbezi mwisho ..ambapo pia watu wa TRA wameweka kituo chao kisichokuwa na parking na kusababisha msongamano wa malori.....
wakati wa jioni hali ni mbaya na msururu wa foleni usiokuwa na mwisho HUANZIA UBUNGO BILA KUKATIKA HADI KITUO CHA TRA MBEZI..hapo unaambiwa mwendo wa gari lazima uwe 10km/hr........watu waanatumia masaa 2.30...huku wengi wakiwa wamechoka....na kusababisha ONGEZEKO LA AJALI KUTOKANA NA BREKI AU MADEREVA KUSINZIA......pia magari mengine hukatikiwa mafuta yakiwa kwenye foleni au kuharibika na kuzidisha taharuki.....
zaidi ya ajali kuongezeka pia wenye magari madogo kwa makubwa wanalalamikia UHARIBIFU kutokana na bump kuwa triple na karibu karibu mno.......magari yanakata spring...
siku hizi magari kukuta yamepinduka asubuhi ni kawaida kwani hizo bump hazina SIGNS zinazoonekana mchana sembuse zinazoreflect usiku..na kusababisha madereva wanaopita usiku wa manane wakupwa nje ya barabara KILA SIKU...
kwa kifupi tuiangalie uamuzi huu kinyume na ushauri wa wataalamu wa barabara kuwa BUMP ..KWENYE HIGHWAY HAZIFAI.....na huu uamuzi wa kisiasa wa kuingilia utaalamu.......nadhani PIA TUFIKIKIRIE KUWEKA VIVUKO VYA MIGUU VYA FLYOVER AU BRIDGE AU UNGERGROUND..ROAD CROSS AMBAZO NI CHEAP kwenye vijiiji au maeneo yenye wakazi ..ili watembea miguu na waenda magari wote wawe salama kwenye highways...