tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,114
Hivi karibuni kumeibuka misemo mipya nayo ni matusi kwenye siasa za upinzani!!
Naam ukiwa mpinzani siku hizi jua umekuwa mtukanaji kwa taifa.
Ma haya hapa ndio matusi ya Lissu kwa taifa .
Lisau anatukana kwamba Serikali haijali watu wake.
Lissu anatukana kwamba Serikali inaminya uhuru wa kujieleza.
Lissu anatukana anaposema hawajatoa hela ya kumtibia.
Lissu anatukana zaid pale anaposema walinzi waliondolewa ili yeye auwawe bila kikwazo chochote!!
huyu Lissu anatukana anaposema wapinzani karibu kila kiongozi anakesi mahakaman aliyoshitakiwa na serikali huku wengine wako jera.
Lissu anatukana mnoo pale anaposema tanzania tumefikia kukatazana kutembeleana kwenye matatizo. rejea Lema alipotembelewa magereza waliambiwa nn waliomtembelea. na Lissu je nani kaenda kumtembelea husani wabunge wa chama cha ccm kama mbunge mwenzao
Matusi ni mengi ya Lissu tuyaingize kwenye kamusi yetu kama matusi mapya .
Hebu karibu tuorodheshe matusi mapya toka kwa Lissu ili tuweke kumbu kumbu sawa!!
Namalizia na tusi kubwa la Lissu mzee baba ni dikteta uchwara wakati ni sio dikteta au bora aseme ni dikteta kamili!!
Naam ukiwa mpinzani siku hizi jua umekuwa mtukanaji kwa taifa.
Ma haya hapa ndio matusi ya Lissu kwa taifa .
Lisau anatukana kwamba Serikali haijali watu wake.
Lissu anatukana kwamba Serikali inaminya uhuru wa kujieleza.
Lissu anatukana anaposema hawajatoa hela ya kumtibia.
Lissu anatukana zaid pale anaposema walinzi waliondolewa ili yeye auwawe bila kikwazo chochote!!
huyu Lissu anatukana anaposema wapinzani karibu kila kiongozi anakesi mahakaman aliyoshitakiwa na serikali huku wengine wako jera.
Lissu anatukana mnoo pale anaposema tanzania tumefikia kukatazana kutembeleana kwenye matatizo. rejea Lema alipotembelewa magereza waliambiwa nn waliomtembelea. na Lissu je nani kaenda kumtembelea husani wabunge wa chama cha ccm kama mbunge mwenzao
Matusi ni mengi ya Lissu tuyaingize kwenye kamusi yetu kama matusi mapya .
Hebu karibu tuorodheshe matusi mapya toka kwa Lissu ili tuweke kumbu kumbu sawa!!
Namalizia na tusi kubwa la Lissu mzee baba ni dikteta uchwara wakati ni sio dikteta au bora aseme ni dikteta kamili!!