Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,110
- 2,736
Kikao cha CCM hapa Nungwi imeleta matusi mazito ya nguoni mbele za makamu wa pili wa rais na mh. Vuai nahodha.
Mama Asha Bakari amewatukana Mbowe, Lipumba na Maalim Seif kuanzisha ndoa ya kikristo na kiislamu, akidai kwamba Lipumba analalwa na wakristo wanaotaka kuleta ushoga Zanzibar pamoja na serikali tatu.
Ntaendelea kuwataarifuni baadae maana nimechukua picha nyingi.
Kuna malori mengi sana yamesomba watu, tshirt mipira zinagawiwa bure, aisee hadi na vyakula, vingi sana.
Mama Asha Bakari amewatukana Mbowe, Lipumba na Maalim Seif kuanzisha ndoa ya kikristo na kiislamu, akidai kwamba Lipumba analalwa na wakristo wanaotaka kuleta ushoga Zanzibar pamoja na serikali tatu.
Ntaendelea kuwataarifuni baadae maana nimechukua picha nyingi.
Kuna malori mengi sana yamesomba watu, tshirt mipira zinagawiwa bure, aisee hadi na vyakula, vingi sana.