Haya ndo majembeee hamtayawezaa
Ngoja niyatafutie mipini ili yakamilike kabisa
Haya ndo majembeee hamtayawezaa
Hebu wekeni sawa ni Asha BARAKA
au Asha BAKARI ?
Ngoja siku atazaa mtoto anafanana na wasira aje atuambie kama amemsilimisha mzee wa gombe.
Huyo bibi hana lolote ni CUF wa kutupa na anajulikana na wanaomjua wanaelewa anachokifanya ,tena CCM muwe na hadhari nae sana ,kama jamaa walisema sindano ikianguka Ikulu wanajua basi mawakala ni disaini za akina Asha ,mmenielewa ,wacha awakaange CCM ,maana kama CCM ni wenye akili basi wangenuona kuwa anakiharibu chama chao ,Asha anatumika kuiharibu na kuichafua CCM ,yaani kwa mtaji wa Asha uamsho watapata nguvu mara dufu.
Msishangae wanajf,ccm haijaanzia kwa Asha Bakari ni sera yao,msikie Nchemba,Nkamia,kigwangala,mama mmoja alikuwa akiitwa stiko- katibu mwenezi zbar,vuai ali vuanu,juma shamhuna,baada ya kuasi miiko ya Azimio la Arusha ,ccm imeingiza majangili ndani ya chama
Ngoja niyatafutie mipini ili yakamilike kabisa
Angejua kimtokacho mtu kinywaji ndicho kimtiacho unajisi,huyu ni bonge la michepuko,wamemfyatua watoto sita wakamwacha solemba ,hali hii lazima uadhirike kisaikolojiaKikao cha CCM hapa Nungwi imeleta matusi mazito ya nguoni mbele za makamu wa pili wa rais na mh. Vuai nahodha.
Mama Asha Baraka amewatukana Mbowe, Lipumba na Maalim Seif kuanzisha ndoa ya kikristo na kiislamu, akidai kwamba Lipumba analalwa na wakristo wanaotaka kuleta ushoga Zanzibar pamoja na serikali tatu.
Ntaendelea kuwataarifuni baadae maana nimechukua picha nyingi.
Kuna malori mengi sana yamesomba watu, tshirt mipira zinagawiwa bure, aisee hadi na vyakula, vingi sana.
Ha! Ha! Haaaa!!!
Habari yako mkuu?
Siyo huyu mama tu, wengine waliongea vitu visivyo na maana huku wakimwaga matusi. Neno kuu ilikuwa ni CCM hoyeeee....yaani ukitaka kujua utupu wa wana ccm, nenda kwenye vikao vuao
Mmh jamani! Hebu mkumbusheni huyo kikongwe juu ya Oyombe Ayila, aliwahi kuwa mbunge huko mkoani Mara na kilichotokea baadaye, atanyamaza kabisa, yeye si anajua wengine wanavyopenda na kupendwa, mkumbusheni hilo, tena pale Magomeni, Dar!!!!Jamani msishangae kusikia huyu bibi kugombea "urahisi" mwakani kama zawadi yake kwa chama tope wafanyavyo kuwazawadia wote wenye vinywa vichafu kama chake. Nathibitisha dhana yangu kwa kurejelea matusi ya nkamia na muchemba kisha kupewa uwaziri.
ccm ni chama cha matusi