Matusi makubwa yanayoendelea instagram bila hatua kuchukuliwa, ni dhahiri Maxence anaonewa

mtotomtamuu

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
602
1,454
Nianze kwa kulaani vikali kitendo cha kunyanyaswa kwa mwanzilishi wa Jf Mr Mexence Melo. Anachofanyiwa mexence ni dhahiri anaonewa mchana kweupe

Je kwanini mexence anaonewa?

1.Mtandao wa Instagram

Huu ni moja ya mtandao ambao kwa sasa umegeuka kuwa kijiwe cha matusi mazito. Katika mtandao huu kumeibuka Account nyingi ambazo zimefunguliwa kwa ajili ya kuchafua watu

Kuna watu wamekuwa wakitukana matusi mazito instagram na wengine wanaikosoa serikali hadharani kabisa

Na kati ya Account ya instagram inayoisumbua serikali ni ya Mange kimambi ambaye amegeuka mwiba mkali kwa serikali kwa kuikosoa serikali na kuingilia maisha ya faragha ya watu wengine.

Wakati hayo yote yakitokea sijawahi kuona Mark Zuckeberg mmiliki wa Facebook,Instagram,Whatsapp akitiwa nguvuni kutokana na watumiaji wa mtandao wake kuichafua serikali

Hata wawakikilishi wa Mark Zuckeberg hapa Tanzania sijawahi kusikia wamekamatwa kulisaidia jeshi la polisi kutokana na watumiaji wa insta au fb kuvunja sheria

Mara nyingi jeshi la polisi limekuwa likitumia Taharifa za "kiitelejensia" kama wanavyosema wenyewe. Kuwakamata wanavunja sheria fb na Whatsapp na kuna baadhi walifikishwa mahakamani na mwisho wa siku wakashinda kesi

My take
Kama waliovunja sheria fb,insta na whspp mliwatafuta bila kuwakamata wamiliki na wawakilishi wao hapa Tz

Kwanini Mexence mumkamate? Kama sio uonevu huu ni nini?

Na mkiifunga jf na Instagram nayo ifungwe kwani hiyo ndio imewashinda kabisa mmebaki kuonea dagaa


[HASHTAG]#freemax[/HASHTAG]
[HASHTAG]#freemelo[/HASHTAG]
 
4f7fc54967461b81a6a1cd31c4cdf1eb.jpg
 
10. Image

A Catholic Priest was dying in a hospital and asked the doctor to call a Police Officer & a politician .
Within minutes, the two appeared.

He asked them to sit on either side of the bed. The priest held their hands n kept quiet. The guys were so touched and at the same time felt very important for being summoned by a priest in his dying moment.

Out of anxiety, the politician ask, 'But why did you call us? '

The priest gathered all his strength and said, 'Jesus died between two thieves.....I want to go the same way!!!!'
 
Back
Top Bottom