Matunda Ya Ccm

SIMBA DUME

Member
Jul 6, 2008
30
0
Mwaka fulani ZANZIBAR baada ya uchaguzi mkuu serikali ili tangaza hali ya hatari

Kwenye maeneo ya BAGHANI kulikua na mhindi anategeneza Vespa yake wakapita wanausaalama

MAMBO YALIKUA HIVI

ASKARI:-Wewe muhindi hujui kama hairuhusiwi kukaa nje

MUHINDI:-Hapana tabu dugu mimi hapana CUF mimi ipo CCM

ASKARI :-Kama wewe CCM taja matunda yake CCM

MUHINDI:-Matunda ipo mingi sana taja gapi taka veve

ASKARI:-Matunda 5

MUHINDI:pAPAI,EMBE,CHUNGWA,DIZI,FENESI.

ASKARI:pUMBAVU SANA HAYA RUDI NDANI HARAKA SANA
 
Back
Top Bottom