SIMBA DUME
Member
- Jul 6, 2008
- 30
- 0
Mwaka fulani ZANZIBAR baada ya uchaguzi mkuu serikali ili tangaza hali ya hatari
Kwenye maeneo ya BAGHANI kulikua na mhindi anategeneza Vespa yake wakapita wanausaalama
MAMBO YALIKUA HIVI
ASKARI:-Wewe muhindi hujui kama hairuhusiwi kukaa nje
MUHINDI:-Hapana tabu dugu mimi hapana CUF mimi ipo CCM
ASKARI :-Kama wewe CCM taja matunda yake CCM
MUHINDI:-Matunda ipo mingi sana taja gapi taka veve
ASKARI:-Matunda 5
MUHINDI
APAI,EMBE,CHUNGWA,DIZI,FENESI.
ASKARI
UMBAVU SANA HAYA RUDI NDANI HARAKA SANA
Kwenye maeneo ya BAGHANI kulikua na mhindi anategeneza Vespa yake wakapita wanausaalama
MAMBO YALIKUA HIVI
ASKARI:-Wewe muhindi hujui kama hairuhusiwi kukaa nje
MUHINDI:-Hapana tabu dugu mimi hapana CUF mimi ipo CCM
ASKARI :-Kama wewe CCM taja matunda yake CCM
MUHINDI:-Matunda ipo mingi sana taja gapi taka veve
ASKARI:-Matunda 5
MUHINDI
ASKARI