mi nishaona zikitumika kwa kazi nyingi zaidi,kule umasaini kuna kamba za kufungia mbuzi za chandarua,zinapatikana sana mnadani,pia kwa gari za porini,wanafunga chandarua kwenye ngao,ili wadudu wasiingie kwenye rejeta,Tabora,zinachujia asali.
Mpaka kwenye ujenzi wa maghorofa wanaweka pembeni ya vyuma kuzunguuka ghorofa ili vitu vikidondoka kutoka juu vinasaswe (sasa sijui msumeno au nyundo ukidondoka utazuiwa na chandarua na watu wa CRB wapo)
Ni nachojua ni kwamba hadi sasa, teknolojia ya recycling kuhusu vyandarua haipo hapa. Sasa mtu ai=kitumia chandarua na kachoka kukishona afanyeje? Si anatumia kazi nyingine? Mbona hata wake zenu wanafulia T-shirt zikitoboka au zile zilizopauka? Au wanaoshea magari, mi sioni shida kabisa.
Pili, vyandarua decision was top down kwa vile wananchi hawakushirikishwa kikamilifu. Ndo maana wengi wanavitumia vibaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.