Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Siku hizi kumezuka mtindo watu kugeuza simu wakati wa kuongea. Badala ya kusikilizia upande wa skrini anasikilizia upande wa nyuma (usawa wa kamera). Wajue tu kuwa sio fasheni bali ni maangamizi.
Pale ndipo penye eria ya simu na pana mionzi mikali sana wakati wa kuongea. Mionzi inaongezeka ukali mtu anapo block eneo hilo hivyo kufanya madhara kuongezeka. Tumieni simu katika matumizi sahihi.
Pale ndipo penye eria ya simu na pana mionzi mikali sana wakati wa kuongea. Mionzi inaongezeka ukali mtu anapo block eneo hilo hivyo kufanya madhara kuongezeka. Tumieni simu katika matumizi sahihi.