Kwa mfano wewe uko upande upi?
wa kukaguwa vya mwenzio ila vya wewe hakuna ama???
nakaguliwajeeeeeeeee
Kwa mfano wewe uko upande upi?
wa kukaguwa vya mwenzio ila vya wewe hakuna ama???
nakaguliwajeeeeeeeee
kama hizo za kuwa na michepuko eeeeh... safi sana :A S-eek:eep:Sioni kama ni vyema japo inasemekana mkiwa kwenye ndoa ni kitu kimoja so hahitaji kufichana kitu!
Mimi naamini kuna siri ambazo si lazima azijue mke wangu naye kadhalika ana siri ambazo sihitaji kuzijua!
Hakuna formula inategemea mlikutana katika misigi ipi na uhusiano wenu unalenga nini, kuna akina sisi hata mtu akichelewa kujibu text tu unaumwa! Sio ulimbukeni bali ni mazoea, mapenzi hayana formula. fanya kile unaona ni the best kwako au kwenu! lakini kumbuka, the greatest Love of all is learning to love yourself.